Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Khasante sana Mkuu humu tunaitaji point big kama hizo.Kama mondi anaweza kumcoach mtu aliyekua anaonekana hana mbele wala nyuma mpaka inafikia hatua anapewa promo na raisi akawe mbunge ! Mondi anastahili degree ya heshima kwani anafanya kazi ambayo hata vyuo vikuu vmeshindwa kwasasa!!
Hawezi. Alishindwa gari linalotembeza misosi ataweza mziki wa dawa?
Wenye chuki wanateseka tuDaaah haya maisha bwanaa, mtoto wa mtwara ndio kashatoboa hivo.
Kwahiyo profesa Jay Sanaa imemshinda?Msanii akishajiingiza katika siasa, basi sanaa inamshinda.
ni kweli kabisa, na sasa anatakiwa amcoach queen Darlene na LavalavaKama mondi anaweza kumcoach mtu aliyekua anaonekana hana mbele wala nyuma mpaka inafikia hatua anapewa promo na raisi akawe mbunge ! Mondi anastahili degree ya heshima kwani anafanya kazi ambayo hata vyuo vikuu vmeshindwa kwasasa!!
ni kweli kabisa, na sasa anatakiwa amcoach queen Darlene na Lavalava