Yaani mkuu umelenga hasa kwenye mzizi wa hoja yangu. Mi nazungumzia branding sababu mwisho wa siku kuiga iga hakutakuza brand yake harmonize. Ile ya gari la chakula ilikua poa sanaIdentinty ni kitu kikubwa sana kwenye sanaa, Harmonize kashajishape kama clone ya Diamond since mdogo, hivyo ni ngumu leo kumbadilisha.
Hakuna kitu atakachofanya pekee aone kama ni kizuri isipokuwa kama Diomond ameshakifanya kwanza.
Nilishangaa sana hasa kipindi kile akatoka na Wolper ambaye Diamond alishawahi kutoka naye pia.
Anahitaji management yenye akili na ubunifu, otherwise kupata endorsements zinazoeleweka ni ngumu
All na sisi pia mwaka huu wa 2020 tujitathmini, tuzisake, tutengeneze hela.
Mkuu bongo hayajafanyika mengi yaliofanyika huko nje. Na ndo maana mondi anavuta mashabiki kwa kiwango ambacho haijapata kutokea. Hamo abuni mapya ambayo hatujaona bongo ili akuze brand yake.Hakuna kipya, kinachofanywa Sasa ni uboreshaji tu wa yale yaliyokwishafanyika. Tazama show alizowahi kufanya Michael Jackson halafu tazama show nyingi zinazofanyika bongo, ndio utajua hakuna jipya zaidi ni kuongeza mbwembwe hapa na pale
Sent using Jamii Forums mobile app
yanakuwaje mapya wakati tusha yaona huko nje ama yashafanyika huko njeMondi anaiga nje analeta mapya bongo na brand yake inakua. Brand ya Hamo itakuwa kwa kumuiga Mondi? Hoja ya wao kujitafakari!!!
Sasa kwa nn brand ya mondi inakuwa wengine hawakui? Nani wa kwanza kufanya kolabo na wagineria, nani wa kwanza kutumia helikopta? Katika wasanii nani wa kwanza kuanzisha festival? Naniwa kwanza kuwa na media? Mengi tu na ndio maana brand ya mondi inakuwa.yanakuwaje mapya wakati tusha yaona huko nje ama yashafanyika huko nje
kuiga ni kuiga tu
as long as ni mambo mazuri wacha aige tu, sioni tatizo. kama fulani amenunua gari na wewe ukaiga kununua gari tatizo liko wapi?
wakati hao wanaigana we umeshinda jamii forums kuwaanzishia mauzi mengi mengi, hebu kafanye kazi mdada.
Mkuu bongo hayajafanyika mengi yaliofanyika huko nje. Na ndo maana mondi anavuta mashabiki kwa kiwango ambacho haijapata kutokea. Hamo abuni mapya ambayo hatujaona bongo ili akuze brand yake.
Shida wameweka sana unazi kwa hiyo hata useme nini mradi umezungimzia huyo hamo na mondi hawataki kuelewa. Ila na hakika menejment yake itaona hili maana huyo mchizi wao anatapatapa sana huku akimwangalia mondi badala ya kubuni yake mapya.Watu hawajaelewa point yako.
Mimi nachukulia mfano mdogo wa Ray na Marehemu Kanumba.
Ray alikuwa ni copycat ya Kanumba, jamaa kuondoka Ray hatumsikii tena.
Mondi anakopi hadi shoo na kutumia helikopta kumbeHilo limondi lenyewe ndo master wa copy na paste lol, toeni huo ukuda wenu hapa so FB. Msieeeeeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Diamond anaiga swaga za Ali Kiba sisi hatusemi kitu?