Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaLabda amejaribu kufikiri uwezo ukakomea kwenye kuigiza ila mond kumuiga ni kazi jamaa mjanja sana
Kwani clouds ni msanii ?
Muambie huyo babu kizeee lol, mzee mzima upeo wake wa kufikiri umeishia pale, aibu naona Mimi jamani khaaaahWanaosema mashabiki wa Diamond ni mbumbumbu hawajakosea. Kufanya shoo ni kumuiga? Mlitaka asifanye shoo? Kwahiyo Diamond anaiga clouds maana nao hayo yote washayafanya mpk kupiga shoo Kwenye treni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muwapuuze tu mbumbumbu hawa, lolwatu wengine wapuuzi tu, eti kisa ametumia helicopter walitaka atumie ungo ili awe hajaiga?
Hilo limondi lenyewe ndo master wa copy na paste lol, toeni huo ukuda wenu hapa so FB. MsieeeeeeeeewAache kuiga.... Mwishowe atajiita a girl from Tandale..
Kuvipuuza tuuh mahaba wapeleke huko sio hapaVishabiki vya Wcb havinaga uelewa Vyenyewe ni kulalamika tu.
Nashangaaakwa iyo na ww kuanzisha uzi umeiga
diamond anaiga mangap toka nje je? hakuna shida ila kwa hamo tu
Mahaba peleka huko kigoma co hapa, msieeeeeeeeewHarmonise "MondiRapa"!!! Wanaiga sana mondi. Naona ilianza Harmonize kumkubali sana Mondi toka alipokuwa WCB!!!
Maana kuanzia mziki mpaka swag zake, social media zake, kuanzisha festival, nk yaani kila kitu Hamo anamuiga Mondi!!. Mpaka sehem Mondi alipokuwa akipiga shows zake huko nje Hamo nae yupo mule mule.
Kwa hiyo nje huko bajeti yao ya kumuita Mondi ikipungua wanamwita "MondiRapa"!!!
Mpaka juzi mwenzake kafanya shereh ya kimila kutimiza miaka 10 na yeye kaiga huko kwao kusini!!! Mwenzako hiyo kaiweka kama anniversary we tayari ushaiga!!!!
Harmo na menejment yake wanajitahidi ila wabuni mambo yao mapya kwenye brand yao!!!! Walete vitu vipya kama lile gari la chakula!!!. Waache kabisa kufuatilia anachofanya Mondi, yaan wachukulie kama hayupo.
Hawawezi kuteka soko kwa kumuiga Mondi!! Badala ya kuzidi alipofikia Mondi ataishia kuonekana MondiRapa[emoji23]View attachment 1309103View attachment 1309104View attachment 1309106
Huyo mtoa thread ni zwazwa kutoka pale madale,,Hiyo ndio asili ya muziki wa bongo, tulianza kuiga kwaito, tukahamia Nigeria sasa hivi tupo Congo, haya malalamiko ya fulani anamuiga fulani wakati wote wanaiga nje, mi naona kama malalamiko ya mazwazwa tu
WanawewesekaHakuna kitu WCB inawauna kuliko kumpoteza huyu Chinga kwenye timu yao.
Wanaosema mashabiki wa Diamond ni mbumbumbu hawajakosea. Kufanya shoo ni kumuiga? Mlitaka asifanye shoo? Kwahiyo Diamond anaiga clouds maana nao hayo yote washayafanya mpk kupiga shoo Kwenye treni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mondi kuna mambo anaiga sehem tofauti tofauti lakini anapenda ubunifu kuja na vitu vipya. Namshauri hamo ajiongeze kuleta vitu vipya ili hili game liendelee. La sivyo tutawachoka wote!!! Mi mdau tu wa sanaaas long as ni mambo mazuri wacha aige tu, sioni tatizo. kama fulani amenunua gari na wewe ukaiga kununua gari tatizo liko wapi?
wakati hao wanaigana we umeshinda jamii forums kuwaanzishia mauzi mengi mengi, hebu kafanye kazi mdada.