Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Nyumbani kwetuLocation ya video ni wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbani kwetuLocation ya video ni wapi
Acha uwongo, beat hazifanani, unaleta uzushi usio na maana pumbavu..Now days maproducer hawana ubunifu kabisaaaaa
Hii nyimbo ya tatu sasa ila beat ni ile ile ( Love portion ya mafikizolo, Darling ya Butera Knowlence ft Benpol na hii ya Harmo)
Imekua ni mwendo wa kubadili mistari tuuuu....ila all in all mistari ya huu wumbo na ujumbe ni mzuri pia
Ukidanganya hivyo unafaidika na nini? beat hazifanani
tangu" lini "mziki ukawa ni mali ya Mtu"....!!!? sema wimbo ndio wamtu"... wee mshamba nini ""?Ukweli upi?mziki Ni wa Nani Sasa?
Huu ni utoto na majibu ya kikubalehe tu!Siasa unataka jiwe atupige kakojoe ukalale kwani umelazimshwa eeebooooooo.
Acha uwongo, beat hazifanani, unaleta uzushi usio na maana pumbavu..
Umelewa kalale wimbo Ni wa harmonize Kama utaki toka jamii forum.tangu" lini "mziki ukawa ni mali ya Mtu"....!!!? sema wimbo ndio wamtu"... wee mshamba nini ""?
Wewe Ni bilali yule wa DAR anaejua kulembua kukiko wanaume wote wa DAR,ok be careful with your heart.Huu ni utoto na majibu ya kikubalehe tu!
Kwani kuimba siasa ni mpaka umtukane au um criticize tu?
Wale walioimba "Tanzania yetu ndio nchi ya furaha" kwa mfano wamepigwa mawe?
Jitu zima tena janamme unakuwa na tabia za kimende...hovyo kabisa!
Yani wewe ni shoga kabisa ndio maana unapenda minyimbo ya kulialia na kibwagizi cha ebooo kama James Delicious!
Kalale Sasa mafikizolo ndo wameiba demo ya hiyo beat,beat Ni ya harmonize ok be careful with your heart.Sinaga utimu na ushabiki wa kishamba mkuu..nimeongea maoni yangu mimi kama mimi...Kama nimekukwaza kwa maoni niliyoyatoa ulipaswa uyapinge kwa maoni yako pia..kunitukana sana sana haisaidii kitu..ubarikiwe mnoo na mitusi yako!!
Beats zinafanana,hata kiziwi atakuambia ivyo!!!
Pumbavu kwa mara ya pili, beat hazifananiSinaga utimu na ushabiki wa kishamba mkuu..nimeongea maoni yangu mimi kama mimi...Kama nimekukwaza kwa maoni niliyoyatoa ulipaswa uyapinge kwa maoni yako pia..kunitukana sana sana haisaidii kitu..ubarikiwe mnoo na mitusi yako!!
Beats zinafanana,hata kiziwi atakuambia ivyo!!!
taahira wewe":Umelewa kalale wimbo Ni wa harmonize Kama utaki toka jamii forum.
Haters utawajua tu,wakati Kila kitu Ni New au utakuwa ujausikiliza vizuri?na huu wimbo ungekuwa wa kawaida why uongoze chati za Kenya?shame on you,be careful with your heart ok brother.