Harmonize abadili dini na kuwa Mkristo? akutana na Pastor Tony Kapola nakufanyiwa maombi

Harmonize abadili dini na kuwa Mkristo? akutana na Pastor Tony Kapola nakufanyiwa maombi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu,

Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola

===

Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!"
IMG_0658.jpeg

Jumapili hii Staa huyo wa Bongo Fleva amepanda kwenye madhabahu na kuombewa.

Pia, Soma: Video: Hili ndilo Gari alilopewa Eliud Samwel na Pastor Tony Kapola, Tazama Vibe lake

IMG_0655.jpeg

 
Kwa hiyo ataanza kuimba injili au ataendelea kuimba nyimbo za kuhamasisha pombe, bange, mapenzi nje ya ndoa na uhuni?
Ukristo ni kugeuka mfumo wote wa maisha na kuishi maisha mapya sio nyongeza kwenye maisha ya kale.

Kuna kitu hakiko sawa kwenye injili za vijana wa kidigitali za mwendokasi.
 
Kiumbe mpumbavu huyu
Wewe ndiyo mpumbavu kwani huyo kabla ya kwenda kanisani alikuwa mtu wenu wa maana sana 😢ndani ya dini yenu🙄 sasa hivi choko (shoga ) mwenye jina na mudi akienda kanisani waislamu wanamlilia kuwa kapotea alitakiwa awe shoga muislamu ... tumieni akili nyinyi makafiri wa dini mtajua LOGIC YANGU DINI MMEZIGEUZA USHABIKI HADI SASA MNAGOMBEA MALAYA NA MACHOKO KUWA NI WADINI ZENU VIPI MUISLAMU WA KWELI AUMIE MOYONI KISA CHOKO KAENDA KANISANI AU KAENDA FREEMASON NK ...UNGESE MTUPU


View: https://www.facebook.com/reel/398165979894101/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
 
Back
Top Bottom