Harmonize abadili dini na kuwa Mkristo? akutana na Pastor Tony Kapola nakufanyiwa maombi

Harmonize abadili dini na kuwa Mkristo? akutana na Pastor Tony Kapola nakufanyiwa maombi

Wakuu,

Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola

===

Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!" View attachment 3148941
Jumapili hii Staa huyo wa Bongo Fleva amepanda kwenye madhabahu na kuombewa.

Pia, Soma: Video: Hili ndilo Gari alilopewa Eliud Samwel na Pastor Tony Kapola, Tazama Vibe lake

View attachment 3148942
View attachment 3148952
Wabongo kwa kukuza mambo, amesema hiyo sehemu ya pastor ipo katika video ya nandy, au ndo ngeli haipandi 😅😅😅
 
Wakuu,

Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola

===

Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!" View attachment 3148941
Jumapili hii Staa huyo wa Bongo Fleva amepanda kwenye madhabahu na kuombewa.

Pia, Soma: Video: Hili ndilo Gari alilopewa Eliud Samwel na Pastor Tony Kapola, Tazama Vibe lake

View attachment 3148942
View attachment 3148952
Atatapeliwa
 
Wakuu,

Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola

===

Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!" View attachment 3148941
Jumapili hii Staa huyo wa Bongo Fleva amepanda kwenye madhabahu na kuombewa.

Pia, Soma: Video: Hili ndilo Gari alilopewa Eliud Samwel na Pastor Tony Kapola, Tazama Vibe lake

View attachment 3148942
View attachment 3148952
Sanaa na Wasanii🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu,

Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola

===

Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!" View attachment 3148941
Jumapili hii Staa huyo wa Bongo Fleva amepanda kwenye madhabahu na kuombewa.

Pia, Soma: Video: Hili ndilo Gari alilopewa Eliud Samwel na Pastor Tony Kapola, Tazama Vibe lake

View attachment 3148942
View attachment 3148952
Kufanyiwa maombi ndio kubadili dini?
Jambazi, makonda,na Anko, wake Maghu walikuwa wakishinda misikitini kufanyiwa Dua! Na, mashekh,na hawakuwahi kubadili dini!
 
Back
Top Bottom