kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Ebue ndo nani????
Hope we sio.mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebue ndo nani????
"Eboue"Hope we sio.mwanaume
Ndoa zipo za aina tatu .., sasa hiyo ni ndoa ya aina gani,.?? Ya kidini,bomani au ya mkeka??!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Ni ndoa ya shopping mall.
Labda ni video shootig...Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
View attachment 1200226View attachment 1200228
Ni ndoa ya shopping mall.
Kocha wa zamani wa yangaEbue ndo nani????
Kwani Hamorapa aa Hamonize ana mali ipi yamkute kama ya Eboué? Eti anaoa beberu,mnataka kusema ile stori ya mtwara kumbe ni kawaida ya kwao?Awe makini yasije kumkuta ya Emmanuel Ebue.
KwaniniUnahitaji Moyo wa chuma kumuoa binti kama huyo
WhyUnahitaji Moyo wa chuma kumuoa binti kama huyo
Kwanini
Ndio tena kwa haraka zaidiWewe unaweza Kuoa binti wa hivo?
bomanini kanisa gani hapo mlimani city ama ni msikiti gani hapo
Hongereni sana sarah na Hamonaizi kwa kufunga ndoa.Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
—————————————————————
Updates:
Sasa sio tetesi tena, msanii Harmonize amefunga pingu na mpenzi wake wa siku nyingi Sara ambaye ana asili ya Italy.
Sherehe ya harusi imefanyika usiku huu wa tarehe 7/9/2019 katika ukumbi wa uliopo jijini Dar.
View attachment 1201063
View attachment 1200226View attachment 1200228[/b]