Harmonize afunga ndoa na mpenzi wake Sarah

Harmonize afunga ndoa na mpenzi wake Sarah

Awe makini yasije kumkuta ya Emmanuel Ebue.
Kwani Hamorapa aa Hamonize ana mali ipi yamkute kama ya Eboué? Eti anaoa beberu,mnataka kusema ile stori ya mtwara kumbe ni kawaida ya kwao?
 
Kuna tatizo mahala.. Shida ipo.
 
Mimi sioni tatizo kumuoa huyo dada. Mwenyewe yupo happy na alikuwa nae muda mrefu tu. Kwa hiyo anamjua in and out.hamo amebadilishwa maisha na huyo dada maana sasa hivi ameshauaga umasikini
 
Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.

Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.

Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.

—————————————————————
Updates:

Sasa sio tetesi tena, msanii Harmonize amefunga pingu na mpenzi wake wa siku nyingi Sara ambaye ana asili ya Italy.

Sherehe ya harusi imefanyika usiku huu wa tarehe 7/9/2019 katika ukumbi wa uliopo jijini Dar.

View attachment 1201063

View attachment 1200226View attachment 1200228[/b]
Hongereni sana sarah na Hamonaizi kwa kufunga ndoa.
 
Back
Top Bottom