Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Msanii anayetamba katika soko la Afrika Mashariki anayefahamikwa kwa jina la Harmonize, amehimiza wananchi wafanye maombi kwa Nigeria kutokana na machafuko yanayoendelea hivi sasa. Harmonize ametumia ukurasa wake wa instagram kuwaomba watu wote kuiombea Nigeria.
===
Hatua hiyo imeonekana kuungwa mkono na msanii chipukizi Ibraah aliyechini ya label ya KondeGang
===
Hatua hiyo imeonekana kuungwa mkono na msanii chipukizi Ibraah aliyechini ya label ya KondeGang