Harmonize ahimiza watu wafanye maombi kwa ajili ya Nigeria

Harmonize ahimiza watu wafanye maombi kwa ajili ya Nigeria

Wapuuzi hawa wasanii WaTz . UnajifanyaJe kuwaonea wa Nigeria huruma wakati hayo hayo yanafanyika Tz huku mkiwatukuza watawala ?!.

UNAFIKI ,UNAFIKI & UNAFIKI
Watu wafupi bwana, yeye haoni majanga yanayowakumba wabongo wenzie.
 
Kwani shida iko wapi hapo?

Kama yeye kaona Tanzania Hali iko shwari huwezi mlazimisha aone Kama unavyoona wewe.
 
Msanii anayetamba katika soko la Afrika Mashariki anayefahamikwa kwa jina la Harmonize, amehimiza wananchi wafanye maombi kwa Nigeria kutokana na machafuko yanayoendelea hivi sasa. Harmonize ametumia ukurasa wake wa instagram kuwaomba watu wote kuiombea Nigeria.
View attachment 1607269

===
Hatua hiyo imeonekana kuungwa mkono na msanii chipukizi Ibraah aliyechini ya label ya KondeGang
View attachment 1607303
Harmonize ni mpumbavu sana baada akemee uminywaji wa demokrasia
 
Mpumbavu yule anatuhujumu watz kwenda kunengua mikutano ya CCM harafu sahizi anajisemesha nini.
 
Ameshindwa kuhimiza serikali ikaokoe wamakonde wenzake waliotekwa Kitaya anakomaa na nwanaigeria, jinga kabisa
 
Mbona hawakufanya hivi baada ya ndugu zetu kuuliwa na wengine kutekwa kule kitaya,mbuzi sana hawa jamaa
 
Tanzania ndiyo yakuombea ccm iondolewe madarakani mana ndio chanzo cha matatizo yetu, shida, umasikini, ujinga, na maradhi.
 
Back
Top Bottom