Watu wafupi bwana, yeye haoni majanga yanayowakumba wabongo wenzie.Wapuuzi hawa wasanii WaTz . UnajifanyaJe kuwaonea wa Nigeria huruma wakati hayo hayo yanafanyika Tz huku mkiwatukuza watawala ?!.
UNAFIKI ,UNAFIKI & UNAFIKI
Kuna Nini kinaendelea TZ zaidi ya kampeni?Harmonizer ni zuzu,ina maana haoni yanayoendelea Tanzania?Yanayoendelea Tanzania hayana haja ya maombi?
Majanga gani hayo mkuuWatu wafupi bwana, yeye haoni majanga yanayowakumba wabongo wenzie.
Harmonize ni mpumbavu sana baada akemee uminywaji wa demokrasiaMsanii anayetamba katika soko la Afrika Mashariki anayefahamikwa kwa jina la Harmonize, amehimiza wananchi wafanye maombi kwa Nigeria kutokana na machafuko yanayoendelea hivi sasa. Harmonize ametumia ukurasa wake wa instagram kuwaomba watu wote kuiombea Nigeria.
View attachment 1607269
===
Hatua hiyo imeonekana kuungwa mkono na msanii chipukizi Ibraah aliyechini ya label ya KondeGang
View attachment 1607303
Zwazwa lingine hiliKuna Nini kinaendelea TZ zaidi ya kampeni?
Zwazwa wewe na wenzio mnaofikiri kila mtu ana mawazo Kama yenu. Such a trash Jf member
Hivi ni kweli kwamba haujui chochote kinachoendelea Tanzania zaidi ya campaign?Zwazwa wewe na wenzio mnaofikiri kila mtu ana mawazo Kama yenu. Such a trash Jf member
Kuna Nini kinaendelea TZ zaidi ya kampeni?