Harmonize aligoma kupokea mkono wa King Kiba ila leo Bosi Sallam amegoma kupokea mkono wake imekuwa nongwa

Harmonize aligoma kupokea mkono wa King Kiba ila leo Bosi Sallam amegoma kupokea mkono wake imekuwa nongwa

Kila siku ni Alikiba usipomskia utamskia diamond nae haishi siku ujamskia Harmonize! Si kesho naomba nami jina langu Great God liongelewe humu sio kila siku wao tu
 
Uwage unafatilia matukio vizuri wee mpwa, acha kukurupuka. Khaaaaaah
 
Njaa mbaya sana eti bosi salam??
Unamfanyia kazi IPI we we??
 
Kila mtu ashinde mechi zake...

February 9 Harmonize alipost kipande cha katuni akicheza hujanikomoa na akakifananisha na Sallam Sk.

Sallam Sk amekataa kua mnafki ameonyesha wazi kua kama unanichukia na mimi nakuchukia so hakuna unafki hapo.

Nb:Sisapoti bifu na chuki ila pia unafki ni kitu kibaya
 
😂😂😂 Balaa ni pale unapoleta taarifa za uwongo alafu watu wakakushutukia mambo ni 🔥
 
Bora hata harmonize na mond Wana walinz sio yule DJ kutwa kuzurula peke yake
 
Wasanii wapuuzi tu hadi kwenye mazishi ni kiki,mazishi ya ruge wcb walienda kutafuta kiki huku wameingia na mabaunsa kibao kuvuta attention ya watu.

Leo tena inashangaza kwenye msiba Diamond kasimamiwa na mabaunsa na harmo kasimamiwa na mabaunsa pia,mtu anakaa mabaunsa wanamsimamia kwa nyuma,aisee wasanii hii tabia za kufanya kiki kwenye misiba ni upuuzi
Sasa umeandika Nini,au haujui Kama diamond ni brand kubwa..?
 
Kila mtu ashinde mechi zake...

February 9 Harmonize alipost kipande cha katuni akicheza hujanikomoa na akakifananisha na Sallam Sk.

Sallam Sk amekataa kua mnafki ameonyesha wazi kua kama unanichukia na mimi nakuchukia so hakuna unafki hapo.

Nb:Sisapoti bifu na chuki ila pia unafki ni kitu kibaya
Fact
 
Wasanii wapuuzi tu hadi kwenye mazishi ni kiki,mazishi ya ruge wcb walienda kutafuta kiki huku wameingia na mabaunsa kibao kuvuta attention ya watu.

Leo tena inashangaza kwenye msiba Diamond kasimamiwa na mabaunsa na harmo kasimamiwa na mabaunsa pia,mtu anakaa mabaunsa wanamsimamia kwa nyuma,aisee wasanii hii tabia za kufanya kiki kwenye misiba ni upuuzi
Ila kilichotokea kwa Harmonize kule Tanga msibani baada ya kwenda bila mabaunsa si unakumbuka?
 
Back
Top Bottom