Harmonize alitua na Turkish Airways saa 11 alfajiri, akabaki Airport hadi saa saba kusubiri maandamano ya kumpokea

Harmonize alitua na Turkish Airways saa 11 alfajiri, akabaki Airport hadi saa saba kusubiri maandamano ya kumpokea

Angekua ni mwanasiasa mkubwa kama tundu lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege, nyie wazee msingejazana hapo?

Kila rika lina mapendeleo yake, kijana kushabikia wanamuziki haimaniishi hafanyi vitu vingine, wewe fuata mambo yako.
Niichokisoma ndo kilicho andikwa au Sijasom vizuri hapo alipoingizwa Mwakasege? Depal pamoja na mengine tuliyonayo ila sio kweli
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi

Na sasa hv hawawi wachawi wanakuwa mashoga.. maana ukiendekeza uchawa utafanya lolote utakaloambiaa na wanaokulea mjini..

Sasa kwa njaa ya mafanikio utageuzwa homo..

Unless ni kama aliwalipa pesa nzuri kwa maana labda kama haikuwa uchawa ila aliwakodisha wameingiza pesa.. then its business as usual ila kama ni kupoozwa pesa mbuzi tu basi hamna kitu
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Kama unaweza kumfuatilia hivo basi we pia upo miongoni mwa hao vijana wa hovyo unaosema
 
Si kitu kidogo,kumfanya kijana aache kazi yake ya maana aje akuangalie tu.
Huyu mtu ana KITU.
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Muda wote huo unamfuatilia kijana wa watu umelipwa shillingi au dola ngapi?
 
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.

Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.

Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.

Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.

Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.

Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.

Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Muda wote huo unamfuatilia kijana wa watu umelipwa shillingi au dola ngapi?
 
Kuna jamaa hapa kijiweni anasema kwa ule msafara Harmonizer akigombea urais anachukua nchi mapema asubuhi
 
Kwani shida iko wapi? Wamempenda mtu wao na amerudi na ushindi kwa nini wasimpokee tena kwa maandamano. Au hayo ni simba na yanga tu?
 
Kuna watu Wana Roho za kwanini sana, mleta mada ni mmoja wapo.
Why don't you mind your own business. Kama hao vijana walienda kumpokea Mtu wewe imekuathiri vipi?
Acheni chuki za kipuuzi.
 
Angekua ni mwanasiasa mkubwa kama tundu lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege, nyie wazee msingejazana hapo?

Kila rika lina mapendeleo yake, kijana kushabikia wanamuziki haimaniishi hafanyi vitu vingine, wewe fuata mambo yako.
Mi mwenyewe ningekuwa dar ningekwenda kumpokea, kasubutu kutoka choka mbaya mpaka kuwa star kajitahidi, na hata alivyosubilia kupokewa kafanya vizuri kuliko watu wangeenda wamkute kaondoka.
 
Sijaona shida...Hata angekaa hadi Usiku unaofuata...
#kondeboy for everybody#
 
Back
Top Bottom