Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Niichokisoma ndo kilicho andikwa au Sijasom vizuri hapo alipoingizwa Mwakasege? Depal pamoja na mengine tuliyonayo ila sio kweliAngekua ni mwanasiasa mkubwa kama tundu lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege, nyie wazee msingejazana hapo?
Kila rika lina mapendeleo yake, kijana kushabikia wanamuziki haimaniishi hafanyi vitu vingine, wewe fuata mambo yako.
Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.
Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.
Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.
Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.
Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.
Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.
Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Kama unaweza kumfuatilia hivo basi we pia upo miongoni mwa hao vijana wa hovyo unaosemaHii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.
Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.
Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.
Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.
Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.
Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.
Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Muda wote huo unamfuatilia kijana wa watu umelipwa shillingi au dola ngapi?Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.
Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.
Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.
Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.
Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.
Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.
Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Muda wote huo unamfuatilia kijana wa watu umelipwa shillingi au dola ngapi?Hii nchi ina vijana mazezeta sana. Huyu mwanamuziki aliyetwaa tuzo huko Marekani alifika jana alfajiri saa 11 na ndege ya shirika la Uturuki, akabaki ndani ya uwanja huku akiendelea kuratibu mapokezi yake.
Umati ulikuwa ukija kwa mafungu mafungu hadi mida ya saa saba ndio akatoka nje sasa ili alakiwe kwa maandamano.
Kwa akili hizi ndio maana tuna vijana wa hovyo wanaodhani watatoka kimaisha kwa kuwa chawa wa mtu fulani.
Vijana ni aibu kwa taifa kwani ndio hawa wamesukuma gari kuanzia Airport hadi nyumbani kwa Harmonize.
Hawa ni vijana wanaotumika sababu vichwa vyao vimejazwa upumbavu na kutojiamini.
Mwisho wa siku wanazeeka bila ndoto zao kutimia wanaamua kuwa wachawi, wakiona una hela kidogo tu, wanakuroga.
Bora Mshana Jr kaachana na uchawi
Mi mwenyewe ningekuwa dar ningekwenda kumpokea, kasubutu kutoka choka mbaya mpaka kuwa star kajitahidi, na hata alivyosubilia kupokewa kafanya vizuri kuliko watu wangeenda wamkute kaondoka.Angekua ni mwanasiasa mkubwa kama tundu lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege, nyie wazee msingejazana hapo?
Kila rika lina mapendeleo yake, kijana kushabikia wanamuziki haimaniishi hafanyi vitu vingine, wewe fuata mambo yako.
Halafu huwezi amini sitamgusa hata unywele naona aliandika hivyo kunogesha mada [emoji2]Sijajua lengo la kukuingiza hapa ni nini? Jamaa anatafuta umloge tu alafu akulaumu
Kubali kuzeeka babu bomba mtani wake faiza foxyHalafu huwezi amini sitamgusa hata unywele naona aliandika hivyo kunogesha mada [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maana ya neno UCHWARA?lissu au mtumishi uchwara kama mwakasege,
Tapeli.Nini maana ya neno UCHWARA?