We acha mambo yako ya kipuuzi,Mwakasege unamtaja hapa anahusikaje?
Una mambo ya kipuuzi kumbe?
Ulishawahi kumuona huyo mtu uliyemtaja kwenye media au upuuzi wa kupokelewa?
Jiheshimu ww,acha upuuzi
Anaingiaje hapa,anahusika nn Kwa mfano?
Acha ujinga ww , yaani watu sijui mna shida gani