Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Nakazia! wa madale kawaprove wrong wengi sana.Naomba Uzi huu umefungwa baada ya comment hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia! wa madale kawaprove wrong wengi sana.Naomba Uzi huu umefungwa baada ya comment hii.
Yeye alipotoka huko wasafi mlimpiga bei ganiNdio sharti alilopewa. Dogo kaingia cha kike.
Mbona msalaIbra hela ya kula tu ni mtihani. Dereva bodaboda ana maisha mazuri kumzidi.
Alitaka kutoka akaambiwa aandae billion moja mkononi.
Huyo ibraah si alikua anavimba utafikiria anamiliki 2m mfukoni kumbe apeche alololo waya mkali fcKupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz ameizugumzia kauli ya Harmonize akilinnganisha na mahojiano aliyoyafanya Ibraah na SNS kuhusu kutokulipwa ndani ya miezi 6 ambapo ilipelekea kukaa kimya kimuziki.
Kauli ya Harmonize anasema kuwa alikuwa anampima Ibraah kuhusu ukomavu kwenye muziki lakini majibu ya Ibraah anasema ametoa ngoma ya HAPA ili kulinda kipaji chake kisife.
Ikumbukwe kuwa Ibraah baada ya kuachia ngoma ya HAPA aliweka wazi kuwa kwa sasa anapitia wakati mgumu sana kwenye muziki wake na baada ya kuulizwa alijibu hakulipwa malipo ya kazi zake ndani ya miezi 6.
Kauli hiyo imewashtua wengi kwani waliamini kuwa kutokulipwa kwa Ibraah ni kwa sababu Harmonize alisema kuwa anawadai Ziiki lakini kauli ya Harmonize ndio ikawaacha wengi midomo wazi baada ya kusema kuwa Ibraah hakulipwa kwa sababu yeye alikuwa anampima.
@el_mando_tz anasema kauli ya Harmonize ni mbaya sana hasa kwenye kuathiri kipaji cha msannii wako ukidai ulikuwa unampima kama amekomaa kwenye muziki.
Ibraah ni mfanyakazi wa konde Gang maana na mkataba, je Harmonize baada ya kumaliza kumpima Ibraah atamlipa stahiki zake za miezi 6? na Je kuathiri kipaji cha Ibraah kwa madai ya kumpima malipo yake ni yapi??
Bongo 5
Hiki alijiharibia tuSema dogo nae alizingua kuingilia lile bifu
Wakazi hii hajaiona nini?Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz ameizugumzia kauli ya Harmonize akilinnganisha na mahojiano aliyoyafanya Ibraah na SNS kuhusu kutokulipwa ndani ya miezi 6 ambapo ilipelekea kukaa kimya kimuziki.
Kauli ya Harmonize anasema kuwa alikuwa anampima Ibraah kuhusu ukomavu kwenye muziki lakini majibu ya Ibraah anasema ametoa ngoma ya HAPA ili kulinda kipaji chake kisife.
Ikumbukwe kuwa Ibraah baada ya kuachia ngoma ya HAPA aliweka wazi kuwa kwa sasa anapitia wakati mgumu sana kwenye muziki wake na baada ya kuulizwa alijibu hakulipwa malipo ya kazi zake ndani ya miezi 6.
Kauli hiyo imewashtua wengi kwani waliamini kuwa kutokulipwa kwa Ibraah ni kwa sababu Harmonize alisema kuwa anawadai Ziiki lakini kauli ya Harmonize ndio ikawaacha wengi midomo wazi baada ya kusema kuwa Ibraah hakulipwa kwa sababu yeye alikuwa anampima.
@el_mando_tz anasema kauli ya Harmonize ni mbaya sana hasa kwenye kuathiri kipaji cha msannii wako ukidai ulikuwa unampima kama amekomaa kwenye muziki.
Ibraah ni mfanyakazi wa konde Gang maana na mkataba, je Harmonize baada ya kumaliza kumpima Ibraah atamlipa stahiki zake za miezi 6? na Je kuathiri kipaji cha Ibraah kwa madai ya kumpima malipo yake ni yapi??
Bongo 5
Nikiwa kama mwanasheria wa wanawake wenye makalio nakupa onyo likiambatana na karipio kaliPesa zote zinaishia kwenye wanawake wenye makalio na kuwatongoza kina hamisa mobeto ...
Wakazi kuna watu huwa anawasubiria waingie 18 zake 😁😁Wakazi hii hajaiona nini?
Au kwa kuwa haimuhusu Mondi na label yake.
Sema dogo nae alizingua kuingilia lile bifu
Chuki zake zimejificha kwenye ushauri halafu anamshauri mtu anayejua kuliko yy, dogo wa Tandale hasoma kweli ila ana exposures kubwa kuliko yy, kutoka na watu anaokutana nao kwenye mziki.Wakazi kuna watu huwa anawasubiria waingie 18 zake 😁😁
Sema dogo nae alizingua kuingilia lile bifu