Harmonize ameenda Nigeria leo kukamilisha album yake. Wizkid na Burnaboy ni miongoni mwa wasanii walioshirikishwa humo

Harmonize ameenda Nigeria leo kukamilisha album yake. Wizkid na Burnaboy ni miongoni mwa wasanii walioshirikishwa humo

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
Star wa Bongo Fleva anaetrend na attitude leo kaenda Nigeria kukamilisha shooting ya video ya nyimbo 2 alizoimba na Burnaboy na Wizkid. Safari ya International ndio kwanza imeanza.

Tukae mkao wa kula.

1619611807624.png

 
Ni kweli kila mtu ana mtazamo wake,lakini mitazamo ya wengi ndio inaweza kuchukuliwa

Ukigoogle star namba moja huwezi kukutana na jina Harmonize
Contents za Google tunaandika sisi hawa hawa.

Don't trust Google blindly.
 
Back
Top Bottom