Harmonize ameenda Nigeria leo kukamilisha album yake. Wizkid na Burnaboy ni miongoni mwa wasanii walioshirikishwa humo

Harmonize ameenda Nigeria leo kukamilisha album yake. Wizkid na Burnaboy ni miongoni mwa wasanii walioshirikishwa humo

Ina maana hujui idea ya kumchukua Awilo imetoka kwa Diamond? Au hujui hii safari ya sasa ni copy ya safari ya Diamond Afrika kusini? Akifa Diamond atamcopy nani


Ungekuwa mchaga ungeelewa. Sisi tunatabia moja mwenzako akijenga na wewe lazima upambane kufa na kupona ujenge tena kumzidi. Huu unaitwa ushindani wenye manufaa. Na alikiba nae anatakiwa kwenda nchi nyingine kufanya makubwa zaidi. The same to rayvanny.
 
Acha kijitia ujuha, timing ya kufanya mambo yake ni hadi mondi afanye. Kolabo na wasanii wa nje inasubiria Diamond akienda South Africa. Mondi anacopy kwa watu tofauti tofauti kuleta ladha tofauti ha Harmonize ambae mtu wa kumcopy kila kitu ni Diamond. Aombee sana Diamond asife wala asiache muziki
Kwani alivyokufa Kanumba ,Ray yuko wapi ss ivi?
 
Nataka kulewa ni copy ya mtoto ameshakua ya Pasha ft Tunda man,pasha ni mshkaji sana wa Hbaba ugomvi ndo ulianzia hapo,jamaa walilalamika sana kuibiwa lakini jitihada zao zilipuuzwa.
Diamond ana tabia ya kuiba idea pamoja na kupenda kushirikishwa kwenye ngoma ambazo anahisi zitakuwa kali.

Hata ngoma ya baba levo, Shusha ukiona jinsi alivyoipambania mpaka kaiweka kwenye channel yake, nadhani alihisi ingekuwa kubwa sana.

Bahati mbaya imeenda kinyume na matarajio.
 
Nataka kulewa ni copy ya mtoto ameshakua ya Pasha ft Tunda man,pasha ni mshkaji sana wa Hbaba ugomvi ndo ulianzia hapo,jamaa walilalamika sana kuibiwa lakini jitihada zao zilipuuzwa.
Beat zinafanana flani, nadhani wa kulaumiwa zaidi ni Manecky maana ndo aliziproduce hizo ngoma mbili. Beat znafanan kwa asilimia 85% melody pia 60% lakini ujumbe tofauti.
Kuna kipindi Hbaba baada ya hayo alianza kama kutaka ushikaji na Diamond, tena baadae nikaona anamponda kuhusu kujunua nyumba S.A.
 
Beat zinafanana flani, nadhani wa kulaumiwa zaidi ni Manecky maana ndo aliziproduce hizo ngoma mbili. Beat znafanan kwa asilimia 85% melody pia 60% lakini ujumbe tofauti.
Kuna kipindi Hbaba baada ya hayo alianza kama kutaka ushikaji na Diamond, tena baadae nikaona anamponda kuhusu kujunua nyumba S.A.
watu ambao unapaswa kuwapuuza ni wasukuma na wagogo,wasikuumize sana kichwa wamakonde tupo vizuri sema kuna mtu ametuharibia sifa anataka tuonekane mandungulile.
 
Ungekuwa mchaga ungeelewa. Sisi tunatabia moja mwenzako akijenga na wewe lazima upambane kufa na kupona ujenge tena kumzidi. Huu unaitwa ushindani wenye manufaa. Na alikiba nae anatakiwa kwenda nchi nyingine kufanya makubwa zaidi. The same to rayvanny.
Kwahiyo nyie wachaga mwenzako kama ni daktari anajenga na wewe pia unaenda kusomea udaktari ndio uje ujenge? Au kila mtu na njia yake lakini afikishe lengo
 
Kwani alivyokufa Kanumba ,Ray yuko wapi ss ivi?
Ray alibebwa na haters wa Kanumba tu hakuna cha maana alicholeta Bongo movie ni kama sasa hivi haters wa diamond wanavyojifanya mashabiki wa mmakonde, hao hao walikiwa mashabiki wa Ali kiba na akija mwingine akionesha kumchukia Diamond pia watamshabikia. Akiondoka Diamond hao wanaojiita mashabiki hutowaona na tutarudi tulipotoka.
 
Beat zinafanana flani, nadhani wa kulaumiwa zaidi ni Manecky maana ndo aliziproduce hizo ngoma mbili. Beat znafanan kwa asilimia 85% melody pia 60% lakini ujumbe tofauti.
Kuna kipindi Hbaba baada ya hayo alianza kama kutaka ushikaji na Diamond, tena baadae nikaona anamponda kuhusu kujunua nyumba S.A.
Maprodyuza pia wanachangia kugombanisha wasanii. Anaweza kukutengenezea beat, ila likipendwa na msanii mwingine ambaye anaona ni bora anampa bila kukwambia.

Beat la "My Number one" ya Diamond lilikuwa la Dyna Nyange. Ila Sheddy clever akaligawa tu wakati Dyna alikuwa amesharekodi.
 
Ray alibebwa na haters wa Kanumba tu hakuna cha maana alicholeta Bongo movie ni kama sasa hivi haters wa diamond wanavyojifanya mashabiki wa mmakonde, hao hao walikiwa mashabiki wa Ali kiba na akija mwingine akionesha kumchukia Diamond pia watamshabikia. Akiondoka Diamond hao wanaojiita mashabiki hutowaona na tutarudi tulipotoka.
Ray na Kanumba hawakuwahi kuwa na beef. Kulikuwa tu na ushindani wa kikazi.

Kama ni beef, labda Magazeti ya shigongo yalikuwa yanalazimisha iwe hivyo.

Wangekuwa na beef, wasingekuwa wanatoa kazi za pamoja.

Kabla Kanumba hajafariki nakumbuka walitoa, OFF SIDE.
 
Maprodyuza pia wanachangia kugombanisha wasanii. Anaweza kukutengenezea beat, ila likipendwa na msanii mwingine ambaye anaona ni bora anampa bila kukwambia.

Beat la "My Number one" ya Diamond lilikuwa la Dyna Nyange. Ila Sheddy clever akaligawa tu wakati Dyna alikuwa amesharekodi.
Maproducer wengi wako hivyo, nakumbuka hata marehemu langa alidai beat ya fid q - sihitaji marafiki ilikuwa kwa ajili yake baada ya fid kulisikia akaenda kwa J Murder akaliimbia.

Maproducer wana tamaa na akishafanya hivyo anakuruka ili kumfavor huyo msanii mkubwa. Hata nyimbo underground ana rekodi, halafu anakuja msanii mkubwa anaisikia anaipenda wanafuta vocal anarekodi huyo msanii na wimbo unatoka undergroound akilalamika, prod anakataa, msanii naye anasema ooh huu wimbo nimeuandika toka miaka 3 nyuma dogo anatafuta kiki.
 
Kuna wakati wasanii huwa wanapata pressure sana kiasi kwamba, huwezi kujua wanaimba nini aisee.

Unakuta msanii kachoka, hana mood lakini analazimisha tu kufanya kazi.

Hata huyu Harmonize naona anajitahidi, hali hii iliwahi kumkuta pia Diamond wakati akiwa na pressure za Kiba na Clouds.

Kuna mshkaji wangu fulani ni Shabiki lialia wa Diamond tangu enzi hizo ana mdomo mkubwa, akawa anasema jamaa anapata kollabo kubwa ajitahidi basi kuimba vizuri. Kwa maoni yake anasema jamaa alikuwa anaimba vibaya halafu, video anakimbia kimbia tu ( wakati huo ametoa video ya Nana feat Mr. Flavor)

1- Kwenye wimbo alioshirikishwa na Waje unaitwa Coco baby, yaani alipuyanga kiwango cha 4G.

2- Wimbo wake wa Kidogo feat Psquare, binafsi huwa naona Peter ndio kaimba fresh. Diamond alikuwa anapumua pumua tu yaani.

3- Diamond feat Mafikizolo, kile kisauti sijui alikitoa wapi maana sijawahi kumsikia akikitumia tena kwenye wimbo mwingine.

Kwahiyo nadhani huwa ni suala la muda tu.
Umeongea Point
 
Back
Top Bottom