chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Ina maana hujui idea ya kumchukua Awilo imetoka kwa Diamond? Au hujui hii safari ya sasa ni copy ya safari ya Diamond Afrika kusini? Akifa Diamond atamcopy nani
Nataka Kulewa
Nataka kulewa ni copy ya mtoto ameshakua ya Pasha ft Tunda man,pasha ni mshkaji sana wa Hbaba ugomvi ndo ulianzia hapo,jamaa walilalamika sana kuibiwa lakini jitihada zao zilipuuzwa.Hivi ilikuwa nataka kulewa au nimpende nani?
Kwani alivyokufa Kanumba ,Ray yuko wapi ss ivi?Acha kijitia ujuha, timing ya kufanya mambo yake ni hadi mondi afanye. Kolabo na wasanii wa nje inasubiria Diamond akienda South Africa. Mondi anacopy kwa watu tofauti tofauti kuleta ladha tofauti ha Harmonize ambae mtu wa kumcopy kila kitu ni Diamond. Aombee sana Diamond asife wala asiache muziki
Diamond ana tabia ya kuiba idea pamoja na kupenda kushirikishwa kwenye ngoma ambazo anahisi zitakuwa kali.Nataka kulewa ni copy ya mtoto ameshakua ya Pasha ft Tunda man,pasha ni mshkaji sana wa Hbaba ugomvi ndo ulianzia hapo,jamaa walilalamika sana kuibiwa lakini jitihada zao zilipuuzwa.
Beat zinafanana flani, nadhani wa kulaumiwa zaidi ni Manecky maana ndo aliziproduce hizo ngoma mbili. Beat znafanan kwa asilimia 85% melody pia 60% lakini ujumbe tofauti.Nataka kulewa ni copy ya mtoto ameshakua ya Pasha ft Tunda man,pasha ni mshkaji sana wa Hbaba ugomvi ndo ulianzia hapo,jamaa walilalamika sana kuibiwa lakini jitihada zao zilipuuzwa.
watu ambao unapaswa kuwapuuza ni wasukuma na wagogo,wasikuumize sana kichwa wamakonde tupo vizuri sema kuna mtu ametuharibia sifa anataka tuonekane mandungulile.Beat zinafanana flani, nadhani wa kulaumiwa zaidi ni Manecky maana ndo aliziproduce hizo ngoma mbili. Beat znafanan kwa asilimia 85% melody pia 60% lakini ujumbe tofauti.
Kuna kipindi Hbaba baada ya hayo alianza kama kutaka ushikaji na Diamond, tena baadae nikaona anamponda kuhusu kujunua nyumba S.A.
Sijawai kumsikia hata siku 1,naonaga tu anavyojaribu kupinda domo lakeHuwa sielewi kabisa huyu mmakonde anaimba nini
Kwahiyo nyie wachaga mwenzako kama ni daktari anajenga na wewe pia unaenda kusomea udaktari ndio uje ujenge? Au kila mtu na njia yake lakini afikishe lengoUngekuwa mchaga ungeelewa. Sisi tunatabia moja mwenzako akijenga na wewe lazima upambane kufa na kupona ujenge tena kumzidi. Huu unaitwa ushindani wenye manufaa. Na alikiba nae anatakiwa kwenda nchi nyingine kufanya makubwa zaidi. The same to rayvanny.
Kwahiyo nyie wachaga mwenzako kama ni daktari anajenga na wewe pia unaenda kusomea udaktari ndio uje ujenge? Au kila mtu na njia yake lakini afikishe lengo
Acha ubishi nenda ka editKila mtu na mtazamo wake. Kwa Sasa Harmonize ndo star namba moja bongofleva.sema hao wamemtangulia kusimika brand zao
Ray alibebwa na haters wa Kanumba tu hakuna cha maana alicholeta Bongo movie ni kama sasa hivi haters wa diamond wanavyojifanya mashabiki wa mmakonde, hao hao walikiwa mashabiki wa Ali kiba na akija mwingine akionesha kumchukia Diamond pia watamshabikia. Akiondoka Diamond hao wanaojiita mashabiki hutowaona na tutarudi tulipotoka.Kwani alivyokufa Kanumba ,Ray yuko wapi ss ivi?
Maprodyuza pia wanachangia kugombanisha wasanii. Anaweza kukutengenezea beat, ila likipendwa na msanii mwingine ambaye anaona ni bora anampa bila kukwambia.Beat zinafanana flani, nadhani wa kulaumiwa zaidi ni Manecky maana ndo aliziproduce hizo ngoma mbili. Beat znafanan kwa asilimia 85% melody pia 60% lakini ujumbe tofauti.
Kuna kipindi Hbaba baada ya hayo alianza kama kutaka ushikaji na Diamond, tena baadae nikaona anamponda kuhusu kujunua nyumba S.A.
Nimesoma comment yako vizuri labda wewe ulieiandika hujaelewa ulichoandika.Umesoma vizuri mada?
Harmonise na diamond wote ni wasanii.
Ray na Kanumba hawakuwahi kuwa na beef. Kulikuwa tu na ushindani wa kikazi.Ray alibebwa na haters wa Kanumba tu hakuna cha maana alicholeta Bongo movie ni kama sasa hivi haters wa diamond wanavyojifanya mashabiki wa mmakonde, hao hao walikiwa mashabiki wa Ali kiba na akija mwingine akionesha kumchukia Diamond pia watamshabikia. Akiondoka Diamond hao wanaojiita mashabiki hutowaona na tutarudi tulipotoka.
Haswaa sijui anaimba nini?Huwa sielewi kabisa huyu mmakonde anaimba nini
Maproducer wengi wako hivyo, nakumbuka hata marehemu langa alidai beat ya fid q - sihitaji marafiki ilikuwa kwa ajili yake baada ya fid kulisikia akaenda kwa J Murder akaliimbia.Maprodyuza pia wanachangia kugombanisha wasanii. Anaweza kukutengenezea beat, ila likipendwa na msanii mwingine ambaye anaona ni bora anampa bila kukwambia.
Beat la "My Number one" ya Diamond lilikuwa la Dyna Nyange. Ila Sheddy clever akaligawa tu wakati Dyna alikuwa amesharekodi.
Umeongea PointKuna wakati wasanii huwa wanapata pressure sana kiasi kwamba, huwezi kujua wanaimba nini aisee.
Unakuta msanii kachoka, hana mood lakini analazimisha tu kufanya kazi.
Hata huyu Harmonize naona anajitahidi, hali hii iliwahi kumkuta pia Diamond wakati akiwa na pressure za Kiba na Clouds.
Kuna mshkaji wangu fulani ni Shabiki lialia wa Diamond tangu enzi hizo ana mdomo mkubwa, akawa anasema jamaa anapata kollabo kubwa ajitahidi basi kuimba vizuri. Kwa maoni yake anasema jamaa alikuwa anaimba vibaya halafu, video anakimbia kimbia tu ( wakati huo ametoa video ya Nana feat Mr. Flavor)
1- Kwenye wimbo alioshirikishwa na Waje unaitwa Coco baby, yaani alipuyanga kiwango cha 4G.
2- Wimbo wake wa Kidogo feat Psquare, binafsi huwa naona Peter ndio kaimba fresh. Diamond alikuwa anapumua pumua tu yaani.
3- Diamond feat Mafikizolo, kile kisauti sijui alikitoa wapi maana sijawahi kumsikia akikitumia tena kwenye wimbo mwingine.
Kwahiyo nadhani huwa ni suala la muda tu.
Tuma namba pmEdit hapo kwenye star namba moja
Mwezi mtukufu huu hutakiwi kuwa muongo