Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
sawaMwanaume wa dar analalamika kuona kidume mwenzake hajapostiwa eti 'happy bday'.
Wanaume wa mkoani tuendelee na palizi.
Acha tu ccm itutawale milele mamaaeeee
Huyu jamaa atakuwa wali nazi
Yaah kama mm huwa anankumbusha mamaMi naamini kama diamond & harmo ni wanaume hawawezi kumind
Kutokutakiana birthday njema Instagram kawaida sana labda sisi wanawake tunaweza tukamind
Kwa mwanaume sidhani maana wengine hata kukumbuka birthday zao hawakumbuki
Hata Diamond nayeye wapo waliomtoa sidhani kama huwa anawapost kwenye siku zao za kuzaliwa