Harmonize ameniangusha kwenye Bedroom video

Mimi sioni tatizo la video,labda lile shepu lilowekwa kwenye bikini ndio tatizo.
 
tatizo la mtoa mada ni lile eneo ilipo wekwa raman ya afrika,yeye kazoea kuiona ikichorwa kwenye kuta za madarasa machakavu huko kijijini kibwandu.

Alafu yule mdada mbona aanzishiwi uzi humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usikute hao uliowataja wanajifungianga kuangalia pornography

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wimbo unaitwa Bedroom halafu unataka video ionyeshe watu wako kwenye foleni za uboreshaji wa daftari la wapiga kura? Yaani Konde boy kapiga zake kofia ya Tasaf na tshet ya NEC?
 
Uchambuzi umebase kwa maoni yasiyo na hoja wala mantiki hii ni Sanaa sasa cjui ulitaka akaimbie ikulu sababu kwenye uzinduzi kamualika raisi mstaafu au kwa vile kamualika naibu spika basi angeifanyia bungeni au
Tuliza akili toa uchambuzi wenye mantiki
Kama ningekuwa mwalimu nimekupa swali la kujibu kwa kutoa maoni yako ningekupa maksi 0% ya 0%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…