Harmonize ametiwa mbaroni hapa Kenya

Harmonize ametiwa mbaroni hapa Kenya

Safari ya ndege kutoka TZ ni madakika lakini Harmonize[emoji90]alipofika jana Kenya pia alialikwa CitizenTV,10over10 Program! Pamoja na artist wengine ambao walikuwa hosted!
Wao waliitupea kionjo na kutuburudisha lakini hamornize akatayarishiwa podium vizuri akaulizwa maswali vizuri!akaamua ajibu na kizungu mingi alafu ni kama mtu hataki kujibu!
Akaambiwa apige show ya kionjo kama wasanii wengine walivyofanya lakini akaanza zile zake[emoji51][emoji51]eti,"well am tiredi nimetoka safari refu kutoka darrrr you know,sijui sijui this that this!is not easy my friend you know eheee![emoji90]
Aende ndani kamiti straight akitoka kileleshwa policestation![emoji51]
Sasa mbona ametoka na escort ya sonko
 
Huyu ndio director wa klabu. Anasema Harmonise alichukua pesa ila alikataa kuperform. Anasema kwamba Harmonise atakaa kwa jela hadi Wednesday watakapoenda kortini.

Nimependa Sana hili,(kwa nini hawafuati makubaliano ya kimkataba?)
#Act_of_shame.
 
Very mature... Harmonize.

Erick Omond alitaka kubadili kesi kuwa amepigwa kuficha ukora wake. Lakini hana tabia nzuri abadilike
 
Sasa mbona ametoka na escort ya sonko
Jana alikua club Volume Mombasa akiperform... inaonekana Sonko hakutaka Ku disappoint wateja wa club yake akaamua atume escort ije imchukue Nairobi na kumsafirisha Hadi Mombasa ki VIP
 
Ni kitu gani kilimpeleka Kenya?
Ku hustle na kutafuta hela.... Kwa siku tatu alikua aingize kama Ksh 4 million kutoka venue tofauti tofauti...
Lakini kumbe kulikua na utapeli flani unaendelea, pesa zinatolewa alafu hapo ndo mwisho wa story... kuna mtu Kati ya timu ya harmonize au Eric Omondi alikua anapiga dili na kuchukua pesa bila kumuelezea Harmonize mwenyewe kama dili inasema nini...
 
Ku hustle na kutafuta hela.... Kwa siku tatu alikua aingize kama Ksh 4 million kutoka venue tofauti tofauti...
Lakini kumbe kulikua na utapeli flani unaendelea, pesa zinatolewa alafu hapo ndo mwisho wa story... kuna mtu Kati ya timu ya harmonize au Eric Omondi alikua anapiga dili na kuchukua pesa bila kumuelezea Harmonize mwenyewe kama dili inasema nini...
Omondi ni mdau wa team WCB ambao ni mahasimu wa jadi wa Konde Gang.
Kama Omondi amehusika kumfanyia figisu Harmonize, basi awe makini sana.
Harmonize ni panya road aliyestaharabika, anafahamu ramani yote ya mtaa.
 
Fanyeni fanyeni asije fika Shimo la tewa,Shimo la tewa ni Mwana ukome mchambia Ndimu.Ukifika pande zile ukitoka utamwamkia hata Mtoto mdogo.
Tupe kidogo yanayojiri
 
Nairobi makundi ya utapeli yanashirikiana na polisi wasio waaminifu kutapeli.

Kuna mzungu namfahamu amenisimulia alifuatwa na wauza Gold feki wa kenya akaambiwa kuna kilo nyingi za gold imetoka Congo kwahio atoe ela kulipia kodi na usafirishaji wapeleke Dubai kule Ndio vipimo vya mwisho vifanyike na malipo .
Mzungu akatoa ela kwa dhamana ya gold ya ukweli kilo kadhaa akapewa ilipimwa , usiku polisi walimvamia na silaha na kumtisha sana ikamlazimu atoe hio mali na hoteli haikuwazuia maana ni polisi .
Ndio ukawa mwisho wa Ela zake , mbaya zaidi hawa wauzaji wanatumia wanawake warembo kama chambo.

Kuna uwezekano huyo harmonize ameingizwa mkenge na wakenya
 
Safi sana.
Leo wakenya mnifurahisha.
Hapo hapo endeleeni kushikiria.
Hawa wasanii matapeli na wajanja wa TZ hii ndio dawa yao. Wamezoea kudhulumu na kujifanya wana pesa za kuchezea kumbe ni njaa kali na wezi wakubwa.
Sijajua kwanini hasa chanzo cha masikini kuwa na chuki iliyopitiliza.
Harmonize amewahi kumdhulum nani?
Alipowekwa ndani ulifaidi nini?

Huoni aibu kwa Mtanzania kuchafuliwa jina bila sababu?
Umefuatilia kisa?
 
Back
Top Bottom