Wewe umeshampa?Kampe nzuri wewe...
Haupo hivyo ndo maana haujulikani...Kwa hiyo ametoa ili tujue , dah mi aisee sipo hivyo !
Hahaha sure 😅Haupo hivyo ndo maana haujulikani...
Nadhani gari ni nyenzo katika kazi yake ya muziki, pia naona nia ya Harmonize ni kumrudisha huyu jamaa kwenye ramani ya muziki na ndio kitu muhimu zaidi kwake, hadi sasa amefanya nae ngoma kama tatu na zote ziko youtube(unaweza fuatilia). Ila muhimu zaidi ni yeye Q-Chief kutumia nafasi kama hizi kufanya juhudi otherwise.....Kiuhalisia hili ni tusi.. Sizungumzii aina ya gari wala simpangii cha kutoa lakini angempa nyenzo sio gari
Sasa kwani Gari sio nyenzo Mkuu Kwa hadhi ya Jina Na tunavyomjua Q chila gari ndio kitu sahihi kwa wakati huu ili ata kuondokana na stress za maneno ya kebei ya mtaani na pia anaweza itumia kama nyezo ya kumpatia pesa town kwa kuifanya ubber bolt na vitu vingine vingi tu ......Nikikupa mwekundu leo utaniona wa maana sana lakini kesho utanikumbuka tena nikupe ila nikikupa nyenzo ya kukupatia mwekundu kila siku hiyo ni zaidi ya kutoa
Hapo maneno ya kejeli na stress ndio zinatongeka maana unavyojua wabongoo watasema hata gari lenyewe la kupewa(kuhongwa)Sasa kwani Gari sio nyenzo Mkuu Kwa hadhi ya Jina Na tunavyomjua Q chila gari ndio kitu sahihi kwa wakati huu ili ata kuondokana na stress za maneno ya kebei ya mtaani na pia anaweza itumia kama nyezo ya kumpatia pesa town kwa kuifanya ubber bolt na vitu vingine vingi tu ......
Anafundisha wengine kutoa..May Allah bless himThere was no need of media !
The true meaning of giving
Kwani alikuwa nayo ? Ule ni baba wa familia wewHata madem Zake Q-chief watamdharau Maana wakiiona tu wanajua Msaada.. Angempa Kimya kimyaaa
Kwann umeuliza swali Hilo ?Dai tunajua maisha yake na mama yake na familia yake (tukimtoa baba yake) je, Harmonise na yeye familia yake yote mambo safi??
Just asking out of curiousity
Porte hata yule petyman alizuga!ayo kwa Esma.ila zawadi ni zawadi wimbo mpya Q kaliwa kisogo kakubali,inabidi asilale na chuki tuKiuhalisia hili ni tusi.. Sizungumzii aina ya gari wala simpangii cha kutoa lakini angempa nyenzo sio gari
Kwann umeuliza swali Hilo ?
Mkuu umejuaje kama hajawasaidia ?Coz angeweza kuwasaidia ndugu zake watoke kimaisha sio kutafuta kiki mjini,
Anagawa gari ya 10M ambazo angeweza kuwagawia fedha ndugu zake kijijini wakapunguza makali ya maisha