Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
hahaha nmecheka sana aspirinNadhani kafuata nyayo za msanii mkuu wa Jamhuri, Jiwe linalokataliwa na waashi ambalo litakuwa jiwe kuu kwenye uongozi wa malaika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha nmecheka sana aspirinNadhani kafuata nyayo za msanii mkuu wa Jamhuri, Jiwe linalokataliwa na waashi ambalo litakuwa jiwe kuu kwenye uongozi wa malaika.
Dai tunajua maisha yake na mama yake na familia yake (tukimtoa baba yake) je, Harmonise na yeye familia yake yote mambo safi??
Just asking out of curiousity
Inategemeana na mademu wa aina gani alionayo.Q Chief mademu wake ni aina ya wale wapanda Bodaboda manake hakuwa na gari.Mademu wa aina hiyo wakiona gari wanapagawa,haijalishi hiyo gari umeipataje,aina gani au ina hali gani!Hata madem Zake Q-chief watamdharau Maana wakiiona tu wanajua Msaada.. Angempa Kimya kimyaaa
Hao so ndy wale waandishi wa online... TvAkiongea mwanasiasa wa upinzani unakuta mic mbili tu
Wangapi wanaoishi Dar wana magari lakini hawana nyumba?
Funzo kubwa la watu kujifunza ni, tumia nafasi na muda vizuri maana Golden Chance never come twice but opportunity does.gari imeenda age,,
povu ruksa,,,,,,
[emoji106]There was no need of media !
The true meaning of giving
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata madem Zake Q-chief watamdharau Maana wakiiona tu wanajua Msaada.. Angempa Kimya kimyaaa
Kiuhalisia hili ni tusi.. Sizungumzii aina ya gari wala simpangii cha kutoa lakini angempa nyenzo sio gari
Q chief alikuwa ana gari akaiuza