Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huelewi maana ya kijembe wewe. Kijembe unamnanga mtu bila ya yeye kushtuka kama unamnanga.View attachment 767916
We jamaa mweupe sana kichwani...kwa mawazo yako hicho ni kijembe kwa Mwarabu? hiyo ni post ya kejeri kwa yule dada yenu Looser!
Nyie madem ndio mnajua vijembe vikoje...mm sijaina kijembe hapoHuelewi maana ya kijembe wewe. Kijembe unamnanga mtu bila ya yeye kushtuka kama unamnanga.
Mademu wanarudisha nyuma sana maendeleo mfano kundi la p square limevunjika kwa sababu hiyo hiyo.Sarah aache umalaya, araisambaratisha WCB. Harmonies rudi kwa Wolper au kaa kimya usianze vijembe vya kike.
OKNyie madem ndio mnajua vijembe vikoje...mm sijaina kijembe hapo
Hata me sioni hivyo vijembeNyie madem ndio mnajua vijembe vikoje...mm sijaina kijembe hapo
Kijembe hapo ni kwamba jamaa ana sura mbovu sanaHata me sioni hivyo vijembe
Huyo huyoSara huyu ninaemjua mimi?
SanaaaaaHahahaaaa tusio na instagram tunapitwa na mengi
Inabidi uwe na akili ya ziada ili uweze kung'amua baadhi ya mambo.Mbona kama hakumaanisha kua mbaya ila alimaanisha hawezi kumgusa maana hata kucheka shida ila kwa Mbosso angeweza sababu ana mmudu.
Ubuyu wako umekosa aidha pilipili au sukari... lol