Harmonize amrushia kijembe Mwarabu Fighter

Harmonize amrushia kijembe Mwarabu Fighter

Wenzako wanapanga kiki kalaghabaho unazani kijembe
 
Mbona huyo mmakonde anafanya promo ya show hiyo tarehe 13/05? Pia Mwarabu Naye kaanza kufanya promo kampuni yake ya ulinzi baada ya mange tu kuachia udaku,hapa naona Mange Kaingizwa Choo cha kiume na mtu wa WCB ili wafanyiwe Promo za burebure...
 
Ila Sarah akienda kwa Mwarabu Harmonize ataharibika sana kisaikolojia,ila ndo hivo wasanii hawachelewi kupata watoto vikali
 
Mwarabu Fighter naye kavaa mlegezo? Kweli WCB si mchezo.
 
Mbona kama hakumaanisha kua mbaya ila alimaanisha hawezi kumgusa maana hata kucheka shida ila kwa Mbosso angeweza sababu ana mmudu.

Ubuyu wako umekosa aidha pilipili au sukari... lol
Uko sahihi kabisa,
Hamornize kamaanisha jamaa ni hatari maana yuko kaksi sana hivyo hata kumzingua hawezi.
 
Kw
Mambo yanazidi kutokota kila kukicha. Mara baada ya doto wa diamond platnums (Harmonize/Kondeboy) kusikia demu wake anagawa utamu kwa bodyguard wa diamond platnums, Harmonize amemdhalilisha vibaya sana Mwarabu fighter kwa kumnanga kwamba jamaa hana mvuto wa kimapenzi pia hayupo romantic na vile vile haja jaaliwa sura na hana swaga ambazo zinaweza zikamshawishi Sarah ahamishe majeshi kutoka kwake(Harmonize) kupeleka kwa huyo mbeba vyuma aliyekakamaa kama mti mkavu na amepauka kama kau kau.

Harmonize amedai kuwa jamaa hata kucheka tu hajui akicheka anakuwa kama kituko au kama yale manyani dume(Genda heka).

View attachment 767916
kwani sura ya hiyo harmonize na huyo mwarabu fighter mbona zote mbovu tu kama huyo demu kama angekuwa anaangalia sura wote hao wangemkosa!
 
Kijembe hapo ni kwamba jamaa ana sura mbovu sana
Mbovu kuliko ya harmonize? Harmo hana mvuto wowote ule. Angalau na hiyo sura yake mbaya japo angekuwa hata na height au hata chest ya kumuweka mwanamke kifuani. MI ukiniambia nichangue, nitaenda kwa fighter
 
Back
Top Bottom