Harmonize amsaini Country Boy Kondegang

Harmonize amsaini Country Boy Kondegang

Haka kamakonde hii jeuri kanatoa wapi wameshindwa wakonge kibao kwenye industry lakini kenyewe ka juzi tu kana lebel ya watu 6 sasa. Au ndo kanamtunishia msuli baba yake mlezi
Jembe ni jembe kaweka 500m za kuishape label tu na kusajili manguli na za chinichini wanataka walete kifaa Cha kike daaaaaah Kuna matajiri so mchezo wameweka mizigo pale ko tukae kimya.
 
Naam babuu wa kitaa nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara tatu akinusa ule unga

Mdogo wao young lunya nae ni pombe na mabange yani familia nzima ni pombe wenyewe wanasema wanaozaaaa
watot wa kinondoni wale ndo shida imeanzia hapo
 
Naam babuu wa kitaa nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara tatu akinusa ule unga

Mdogo wao young lunya nae ni pombe na mabange yani familia nzima ni pombe wenyewe wanasema wanaozaaaa
Ahahhhh, wale jamaa ukoo wa mama yao unatoka mnazi mmoja, wajanja janja sana, ila ukoo unatiririka vibaya kwa kulewa starehe, mndago mmoja hv naye naona anakula sembe.....mmoja aliopo south naona kama kqjikomboa kutokula sembe

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom