Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Jembe ni jembe kaweka 500m za kuishape label tu na kusajili manguli na za chinichini wanataka walete kifaa Cha kike daaaaaah Kuna matajiri so mchezo wameweka mizigo pale ko tukae kimya.Haka kamakonde hii jeuri kanatoa wapi wameshindwa wakonge kibao kwenye industry lakini kenyewe ka juzi tu kana lebel ya watu 6 sasa. Au ndo kanamtunishia msuli baba yake mlezi