Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Jembe ni jembe kaweka 500m za kuishape label tu na kusajili manguli na za chinichini wanataka walete kifaa Cha kike daaaaaah Kuna matajiri so mchezo wameweka mizigo pale ko tukae kimya.Haka kamakonde hii jeuri kanatoa wapi wameshindwa wakonge kibao kwenye industry lakini kenyewe ka juzi tu kana lebel ya watu 6 sasa. Au ndo kanamtunishia msuli baba yake mlezi
watot wa kinondoni wale ndo shida imeanzia hapoNaam babuu wa kitaa nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara tatu akinusa ule unga
Mdogo wao young lunya nae ni pombe na mabange yani familia nzima ni pombe wenyewe wanasema wanaozaaaa
Ahahhhh, wale jamaa ukoo wa mama yao unatoka mnazi mmoja, wajanja janja sana, ila ukoo unatiririka vibaya kwa kulewa starehe, mndago mmoja hv naye naona anakula sembe.....mmoja aliopo south naona kama kqjikomboa kutokula sembeNaam babuu wa kitaa nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara tatu akinusa ule unga
Mdogo wao young lunya nae ni pombe na mabange yani familia nzima ni pombe wenyewe wanasema wanaozaaaa
Ila sizani kama atawatoza million 500kama alivofanya kwa boss wake ipo siku hao madogo watampa stress
Kama uwekezaji hautafikia mill500 sawa Ila Kama utafikia mill500 lazima awatozeIla sizani kama atawatoza million 500
Ila sizani kama atawatoza million 500
🤣🤣🤣🤣kama alivofanya kwa boss wake ipo siku hao madogo watampa stress
Hongera pia kwa kutoka.hongera mlevi country boy kwa kusainiwa