joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Out of topic.Iweke hiyo post humu mkuu.
Dogo ni mnafiki sana yule, sana.
Yaani umetoa ngoma mbili ndani mfululizo za kumtukana mtu, tena moja haijamaliza hata wiki eti Leo unaomba msamaha!
Nasubiri kuona hiyo post kwanza.
MoseKing uwe una heshima na watu unaweza kukuta Don Clericuzio Ni baba yako mzazi kwani uwezi kujenga hoja bila kutukana watu?Umeumiaaaaaa kuliko hata Diamond mwenyewe.
Hivi ukiombwa chochote na Diamond utakataa kweli ???
Out of topic.
Mnatuangusha sana Majogoo,huku mtaani hatukai ndugu zetu wa OT wanatupigia makelele.
MoseKing uwe una heshima na watu unaweza kukuta Don Clericuzio Ni baba yako mzazi kwani uwezi kujenga hoja bila kutukana watu?
Hapo kwenye appreciate ungeandika appreciationKupitia Instagram ya Harmonize, Harmonize ameanza mwaka mpya kupitia kuandika ujumbe wake mrefu aliomuandikia Diamond kumuomba msamaha na kutoa appreciate yake kwa alichomfanyia mpaka kufika hapo alipo.
NB: Kiukweli jamaa kafanya Jambo zuri kama alichokiandika kinatoka moyoni maana watu wa Mtwara hawaaminiki Sana mambo ya vijembe na majungu hayafai kwenye mziki lakini hii itamsaidia kuwawin fans wa Wasafi maana jamaa alikuwa anashambuliwa sana mtandaoni
Chawa kwenye ubora wakoKupitia Instagram ya Harmonize, Harmonize ameanza mwaka mpya kupitia kuandika ujumbe wake mrefu aliomuandikia Diamond kumuomba msamaha na kutoa appreciate yake kwa alichomfanyia mpaka kufika hapo alipo.
NB: Kiukweli jamaa kafanya Jambo zuri kama alichokiandika kinatoka moyoni maana watu wa Mtwara hawaaminiki Sana mambo ya vijembe na majungu hayafai kwenye mziki lakini hii itamsaidia kuwawin fans wa Wasafi maana jamaa alikuwa anashambuliwa sana mtandaoni
Wewe Innocent independent, umegonganisha mabwana ukaamua kubadili ID 🤣🤣🤣🤣MoseKing uwe una heshima na watu unaweza kukuta Don Clericuzio Ni baba yako mzazi kwani uwezi kujenga hoja bila kutukana watu?
Aisee nashukuru kwa kumbaini huyu dogo nilikua naisaka hii IDWewe Innocent independent, umegonganisha mabwana ukaamua kubadili ID 🤣🤣🤣🤣
Wewe unaweza kumnyima chochote Chibu Domo ???
Cc Daudi Mchambuzi
Upo dogo?🤣🤣🤣🤣🤣
Sure, hata mwandiko unaonyesha kuna k-vant [emoji38]Harmonize itakuwa wakat wa mkesha k vant ilimkolea si mnajua ile kitu kwa kupelekeshana kuomba msamaha
Duh! Ila jamaa una hasira kwahiyo nimegeuka kuwa huyo innocent so ilinisiwe huyo innocent comment iweje?Wewe Innocent independent, umegonganisha mabwana ukaamua kubadili ID 🤣🤣🤣🤣
Wewe unaweza kumnyima chochote Chibu Domo ???
Cc Daudi Mchambuzi
Kiumri ninaweza kuwa nimekuzidi so unatakiwa uwe na heshima kwa wakubwa wakoUpo dogo?
Duh! Ila jamaa una hasira kwahiyo nimegeuka kuwa huyo innocent so ilinisiwe huyo innocent comment iweje?