Pengine mmakonde ana UTU pia..tusiangalie hili kwa upande wa kibiashara tuMmakonde yupo fasta sana kuchungulia fursa.!
Harmonize anaomba Buga remix
Alifanya kosa ganiUsiku huu Harmonize amemuwekea dhamana msanii mwenzie wa Nigeria aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi la Polisi la Tanzania.
Harmonize ameweza kumdhamini Kizz Danièl na kuondoka naye kutoka kituo cha polisi usiku huu.
Alikataa kuvaa nguo za bongo eti ni za karume yaani jamani jamani kama morison tu.Alifanya kosa gani
[emoji16][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]Alikataa kuvaa nguo za bongo eti ni za karume yaani jamani jamani kama morison tu.
Hizi nguo inawezekana zilikuwa na itu kingine nyuma ya pazzia... kwanini akatae kuvaa nguo zingine alizopewa ili apie show..?Alikuwa na show,kalipwa pesa yote,lakini amefika Tanzania kwa kuchelewa,bahati mbaya begi lake alisahau Uganda hivyo akakosa nguo za kuvaa kwenye onesho.Kwa sababu hiyo hakupanda jukwaani.Juhudi za kumtafutia nguo nyingine zilifanyika lakini alikataa nguo zote zilizopatikana.
It means bongo hakuna nguo za yeye kuvaa au sio?[emoji23]Alikuwa na show,kalipwa pesa yote,lakini amefika Tanzania kwa kuchelewa,bahati mbaya begi lake alisahau Uganda hivyo akakosa nguo za kuvaa kwenye onesho.Kwa sababu hiyo hakupanda jukwaani.Juhudi za kumtafutia nguo nyingine zilifanyika lakini alikataa nguo zote zilizopatikana.