Harmonize amuwekea dhamana Kizz Daniel

Harmonize amuwekea dhamana Kizz Daniel

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]nnemba newala bbaaahhhhh....
 
Hii ni win win situation.
Mmakonde mjanja sana huyu.
Katenda wema lakini pia kategesha mtego wake ambao utanasa kiulaini..

Hiyu ndio mnamfananisha na na yule bonge mnyakyusa?
 
Usiku huu Harmonize amemuwekea dhamana msanii mwenzie wa Nigeria aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi la Polisi la Tanzania.

Harmonize ameweza kumdhamini Kizz Danièl na kuondoka naye kutoka kituo cha polisi usiku huu.
Alifanya kosa gani
 
Alikuwa na show,kalipwa pesa yote,lakini amefika Tanzania kwa kuchelewa,bahati mbaya begi lake alisahau Uganda hivyo akakosa nguo za kuvaa kwenye onesho.Kwa sababu hiyo hakupanda jukwaani.Juhudi za kumtafutia nguo nyingine zilifanyika lakini alikataa nguo zote zilizopatikana.
Hizi nguo inawezekana zilikuwa na itu kingine nyuma ya pazzia... kwanini akatae kuvaa nguo zingine alizopewa ili apie show..?
 
Alikuwa na show,kalipwa pesa yote,lakini amefika Tanzania kwa kuchelewa,bahati mbaya begi lake alisahau Uganda hivyo akakosa nguo za kuvaa kwenye onesho.Kwa sababu hiyo hakupanda jukwaani.Juhudi za kumtafutia nguo nyingine zilifanyika lakini alikataa nguo zote zilizopatikana.
It means bongo hakuna nguo za yeye kuvaa au sio?[emoji23]
 
Huyo dogo show aliyoairisha n kusema ataifanya Ijumaa alipanda jukwaani?
 
Back
Top Bottom