Mbona hivi Mkuu?Rajabu kenge sana hilo gumegume amuulize P Funk afu nyonga zishakaza asitegemee kulijaza ujauzito
Mshobobo wa kimakonde... Ni motoooo tuKila laheri kwao, Kajala anaenda kujimilikisha lile dude la kijeshi....
Mjini kama huna chawa we jua bado unahitaji kukaza buti sana hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila jamani.. Kuna chawa, halafu kuna Mwijaku!!!
Anakuambia "I love the moment."[emoji28]
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ eti dude la kijeshiKila laheri kwao, Kajala anaenda kujimilikisha lile dude la kijeshi....
Kwani ndo mara ya kwanza kuolewa? Kulia huwa ni unafki tu kwani huwa hawajui kinachofanyika na unakuta maandalizi wameyafanya wote.....sema mmakonde ndo haamini kapata mwanamke wa kuvumilia lile dude (kama issue iko serious lakini) Evelyn SaltBila shaka Kajala atakuwa kalia haamini macho yake.
Sasa yale matanzanite ya Laiza yalikuwa ya 5billion sasa ninachoshangaa ni vito gani vinavyogharimu bil 10?Hallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa [emoji6] Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu anaekupenda na yeye akakupenda [emoji7] leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja.
Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa nchini uturuki kwa kina ertugru [emoji16]
Wamependeza sana na wenye wivu wajinyonge [emoji12] Kwa sasa hii ndo kapo namba moja inayokubalika na yenye ushawishi mkubwa Tanzania na East Africa. Tunawatakia maisha mema na ya furaha tele...[emoji3578]
Picha na video chini ni bwana Harmonize akiwa na mchumba wake Kajala wakati wa tukio zima la uvishwaji pete. View attachment 2271917
View attachment 2271918
View attachment 2271919
Teh teh teh teh
Bilioni 10 unaijua au unaisikia?
ππ ππππππ π€£π€£Acha ujinga! Bilioni 10 unaijua wewe? Utajiri wake wenyewe haufikii bilioni10, ndio ije iwe pete ya uchumba tu??!!
Kijana anapenda old stone versionKaachana na mbibi wa kizungu kaamia kwa mbibi wa bongo movie