Harmonize amvisha Pete ya uchumba Kajala

Harmonize amvisha Pete ya uchumba Kajala

Mabilionea wanahesabika sjawai msikia harmonise asa iyo 10b inaingiaje apo.....kajala sio wa kukaa kwenye ndoa wananzengo tunajua
 
Bila shaka Kajala atakuwa kalia haamini macho yake.
Kwani ndo mara ya kwanza kuolewa? Kulia huwa ni unafki tu kwani huwa hawajui kinachofanyika na unakuta maandalizi wameyafanya wote.....sema mmakonde ndo haamini kapata mwanamke wa kuvumilia lile dude (kama issue iko serious lakini) Evelyn Salt
 
Hallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa [emoji6] Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu anaekupenda na yeye akakupenda [emoji7] leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja.

Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa nchini uturuki kwa kina ertugru [emoji16]

Wamependeza sana na wenye wivu wajinyonge [emoji12] Kwa sasa hii ndo kapo namba moja inayokubalika na yenye ushawishi mkubwa Tanzania na East Africa. Tunawatakia maisha mema na ya furaha tele...[emoji3578]

Picha na video chini ni bwana Harmonize akiwa na mchumba wake Kajala wakati wa tukio zima la uvishwaji pete. View attachment 2271917
View attachment 2271918
View attachment 2271919
Sasa yale matanzanite ya Laiza yalikuwa ya 5billion sasa ninachoshangaa ni vito gani vinavyogharimu bil 10?

Kwa maana hata kama ingekuwa dhahabu tupu bado dhahabu ya 10b ni. Uzani mkubwa sana na haiwezekani mtu kumudu kuivaa kidoleni

Kumbuka thamani ya Vito inapimwa kwa Uzani najiuliza madini ya bil 10 ni ya aina gani ni uzito gani?
 
Teh teh teh teh
Bilioni 10 unaijua au unaisikia?

Kama nawaona TRA wanavyoanza kufanya makadirio🐒
IMG_20220625_203221.jpg
 
Acha ujinga! Bilioni 10 unaijua wewe? Utajiri wake wenyewe haufikii bilioni10, ndio ije iwe pete ya uchumba tu??!!
😂😅😆😁😄😃😀😅🤣🤣
 
😂😂😂😂😂
Yani hawa siwaamini amini Basi tu
Ikawe kheri kwao
 
Back
Top Bottom