Shida ya wamama wa mjini hawana kinyaa,wanashare mwanaume na mashoga zake...huyo nae utakuta ni masharti ya mgangaSasa uyo dada atakubali kuyaishi maisha ya ndoa eti awe mama wa watoto wa mtu awalee ktk maadili kama wamama wengine alivyo hivyo! Mtu anafanywa na libol*o ambalo tayari lishamfanya binti yake! Maana msg alizovujisha wakati ule kuna mahali nliona kwa uelewa wangu ni kama alikuwa anamshawishi waendelee asimuogope mama
Huyu mmakonde hapo atachemshaShida ya wamama wa mjini hawana kinyaa,wanashare mwanaume na mashoga zake...huyo nae utakuta ni masharti ya mganga
ukiona mtoto wako amezoea kudet na vimama lia futa machozi maisha yake yatakuwa huvyo hivyoHuyu mmakonde hapo atachemsha
Tu...
Naona yeye anamuona kajala mpya
Kwanza kajala hana plan and hoja ni kupendeza,na kutumia tu
Ova
Ah kajala hazeeki 40+ lkn mmbichiukiona mtoto wako amezoea kudet na vimama lia futa machozi maisha yake yatakuwa huvyo hivyo
Hongera SanaKila laheri kwao, Kajala anaenda kujimilikisha lile dude la kijeshi....
AHallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa π Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu umpendae na yeye akakupenda π leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja.
Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa nchini uturuki kwa kina ertugru π
Wamependeza sana na wenye wivu wajinyonge π Kwa sasa hii ndo kapo namba moja inayokubalika na yenye ushawishi mkubwa Tanzania na East Africa. Tunawatakia maisha mema na ya furaha tele...βοΈ
Picha na video chini ni bwana Harmonize akiwa na mchumba wake Kajala wakati wa tukio zima la uvishwaji pete.
AnaoKajala ana ndugu/walezi/Wazazi?
Ikawe heri