Harmonize amvisha Pete ya uchumba Kajala

F U N Z O Hadithi inatufundisha

Binadamu tuwe na akiba ya maneno hasa mkipishana maelewano na mtu...

Mambo ya wapenzi wakipishana tuwaachie wenyewe...

Lingine mwanaume akililia mapenzi Sampuli ya Rajabu,,, basi tumwache Mazingira yakamfundishe nini alipaswa kufanya,,, na pia huenda sisi tukajifunza kupitia yeye.... TUMPE MUDA...

Mwisho: Tupunguze Ushauri,,, watu tayari wana mipango yao hapa Mjini.
 
Shida ya wamama wa mjini hawana kinyaa,wanashare mwanaume na mashoga zake...huyo nae utakuta ni masharti ya mganga
 
Shida ya wamama wa mjini hawana kinyaa,wanashare mwanaume na mashoga zake...huyo nae utakuta ni masharti ya mganga
Huyu mmakonde hapo atachemsha
Tu...
Naona yeye anamuona kajala mpya
Kwanza kajala hana plan and hoja ni kupendeza,na kutumia tu

Ova
 
ukiona mtoto wako amezoea kudet na vimama lia futa machozi maisha yake yatakuwa huvyo hivyo
Ah kajala hazeeki 40+ lkn mmbichi

Hata ukimuona baba yake mzee masanja Ana mwili mzuri ....

Ila maisha haya kajala ndiyo anapenda bata,media's etc

Faraji ex mme wa kajala anaujua mziki wake [emoji1]

Ova
 
A
HARMO kesi yake ya TALAKA ishapigwa pale TEMEKE ONE STOP CENTRE , talaka ikatoka kimya kimya sema kajala kaula wa mchanga, hakuna mali alizopewa, tena kesi yenywe ilikwenda under "PERSUMPTION OF MARRIAGE", ukiangalia hii engagement jamaa anaonekana very innocent mwishowe akaishia kula "kuku na mayai yake" yaani " kajaa na pauu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…