Harmonize anahamasisha matumizi ya madawa ya kulevya kwenye nyimbo zake. Serikali hamlioni hili?

Sijamsikia hata mmoja akihamasisha uchawi sir mshana akitoa ngoma alifanzie kazi hili
 
Wanasubiri atoe Diamond ndo wafunge. Harmo kaimba pambio mbona
 
Jipige do** kisha sema kwa nguvu kwamba wewe mleta mada ni Upinde wa Mvua
 
Utaskia " kanipa kisamvu kipapatio nyama ya njiwa"
Mara "chomeka chomoa mwenzako nawashwaa"
Mara njoo nikupe mhogo ukaugulie chumbani

Weka mate niteleze kama nyoka pangoni

Nashukuru Mungu siangalii tv mana nyimbo ukiziskia tu ni aibu
 
Mengine yoote sawa ila jamani mmea wangeuacha tu maana ni unstopable, rejea Adam mwenyewe pale Bustanini jani alilikuta na alikuwa akiburudika nalo maana ni kitu Natural, hakijapitia maabara kile.
 
Vp wale wanao support ushoga

Au zamu yao bado

Ova
 
Inaitwa Cha Arusha,hasa tuliopita Udsm. Hata Wakubwa zako muda mwingine wanavutaga.
 
Koh Koh yeeoow yeeoow wakat wanagombea kitii🎶🎶 mi jicho liko nyanya nishakula kijitiii🎵🎶
 
Mr Kusaya ameishatoa tangazo waache kutaja hizo habari za madawa kwenye nyimbo. Wakikaza ubongo, Kusaya show zake ni speed ya mwanga ataruka nao wote kimya kimya
 
Hivi mim hua naishi nchi ipi, Mbona hizi nyimbo sijawai zisikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…