Harmonize anahamasisha matumizi ya madawa ya kulevya kwenye nyimbo zake. Serikali hamlioni hili?

Harmonize anahamasisha matumizi ya madawa ya kulevya kwenye nyimbo zake. Serikali hamlioni hili?

Mengine yoote sawa ila jamani mmea wangeuacha tu maana ni unstopable, rejea Adam mwenyewe pale Bustanini jani alilikuta na alikuwa akiburudika nalo maana ni kitu Natural, hakijapitia maabara kile.
Mi kuna mtu namjua kapata kichaaa cha kudumu...kisa bangi.
 
Back
Top Bottom