Kwanza usitoke nje ya mada. Chinga anaimba vzr ana vocal nzr inamvuto....
Mond anatabia ya uchawa, Kwa kuwa yeye ndiye mkubwa wao anaitumia nafasi vzr dogo chinga shida kubwa ni confidence hana kabisa. Consider ukiwana confor hata MTU na madegree hakuwez,...wote wawili ni shule less,
Wanatambiana, japo mond ameachana na kufuatikiana na dogo chinga boy, Sasa chinga na watu kama wewe unahangaika, sis ni washabiki wao tuu. Sina ishu na yoyote kati yao....
Mondi anawadaka mademu kama kama kumsukuma mlevi, akiwataka, chinga Hana uwezo huo...hapo nazungumzia kukubalika....vita ya cr7 vs Mess mwisho wa siku mess ni Dunia nyingine japo cr7 ana nafasi yake...so elewa baba acha ubishi..
Muambieni chinga Hana PR ya kuuza kama mondi. Or ni nyota ya kazi, kama unavyoona mondi anapata vihela watu wanasema Frimasoni....inawezekana au sio kweli..kikubwa unauzika? Una personality ya kutumiwa na cartel mbalimbal uingize mkwanja?? Chinga Hana, ndio maana anahangaika.....mm nafanya kaz sehm flan, sometimes najiona nyota mabosi wanaiona ikiwawakia, sometimes inakuwa hovyo,naona kabisa, jiangalie hata wewe, wkt mwingine una kitu lkn kama hukubaliki ndg utateseka, tukubaki wkt mwingine bahati unakuja wkt mwingine inakimbia, subiri ije pambana mdogo mdogo Kwa Tahadhari, sometimes ukiona tembo usipambane naye, Rudi Kwa wa level yako.
Hela niitafute Tena wkt ni mwendo wa kula na kumshukuru Mungu, kuburudika kwenye ulimwengu wa mziki, Mpira nk