Harmonize anahitaji sana ushauri wa kisaikolojia

Harmonize anahitaji sana ushauri wa kisaikolojia

Mleta mada wewe ndiyo unatakiwa ukamuone kiongozi wako wa dini akufanyie sala ili donge lililokukaba kwenye koo likutoke.
 
Shida kubwa Kwa mmachinga huyu ni kuachana na diamond that's all.

Diamond haingei, hii dharau kubwa Sana Kwa chinga boy. Mara nyingi ukiongea na MTU hakujibu inauma Sana..

Madem let wote kama unamtongoza na anakaa kimya aise unaweza ukamuua.

Ni Bora ajibu uone direction Sasa chinga hajibiwi, hata kama momd anatafuta wa kutoa Majin it's better ujishushe uwe na ordinary people kuliko kujikwweza.
Haya ni mawazo ya kimasikini mnoo.

Amka hapo usingizini katufute pesa kwa nguvu na akili zako bila chuki.
 
Hela imeanza kumuishia kutokana na kujitutumua kushindana na tajiri wake wa zamani, kwasasa anachofanya ni kujiweka karibu na watu wanaoweza kumpa backup.

Alianza na JPM Mungu kamchukua, sasa yupo kwa Bakhresa na ndohivyo anamendea kwa Ritta. Mtasikia mengi tu, kaeni mkao.

Yeye alivyotoka kule na kibunda chake na alvyopiga ule ubalozi wa CRDB angetulia kufanya mziki wake na sio kutaka kushindana na Mond, maana hata hao wanaomjaza wanajua kabisa hana huo uwezo wa kushindana na yule kiuchumi ila ndohivyo wanamtumia tu.
 
Haya ni mawazo ya kimasikini mnoo.

Amka hapo usingizini katufute pesa kwa nguvu na akili zako bila chuki.
Kwanza usitoke nje ya mada. Chinga anaimba vzr ana vocal nzr inamvuto....

Mond anatabia ya uchawa, Kwa kuwa yeye ndiye mkubwa wao anaitumia nafasi vzr dogo chinga shida kubwa ni confidence hana kabisa. Consider ukiwana confor hata MTU na madegree hakuwez,...wote wawili ni shule less,

Wanatambiana, japo mond ameachana na kufuatikiana na dogo chinga boy, Sasa chinga na watu kama wewe unahangaika, sis ni washabiki wao tuu. Sina ishu na yoyote kati yao....

Mondi anawadaka mademu kama kama kumsukuma mlevi, akiwataka, chinga Hana uwezo huo...hapo nazungumzia kukubalika....vita ya cr7 vs Mess mwisho wa siku mess ni Dunia nyingine japo cr7 ana nafasi yake...so elewa baba acha ubishi..

Muambieni chinga Hana PR ya kuuza kama mondi. Or ni nyota ya kazi, kama unavyoona mondi anapata vihela watu wanasema Frimasoni....inawezekana au sio kweli..kikubwa unauzika? Una personality ya kutumiwa na cartel mbalimbal uingize mkwanja?? Chinga Hana, ndio maana anahangaika.....mm nafanya kaz sehm flan, sometimes najiona nyota mabosi wanaiona ikiwawakia, sometimes inakuwa hovyo,naona kabisa, jiangalie hata wewe, wkt mwingine una kitu lkn kama hukubaliki ndg utateseka, tukubaki wkt mwingine bahati unakuja wkt mwingine inakimbia, subiri ije pambana mdogo mdogo Kwa Tahadhari, sometimes ukiona tembo usipambane naye, Rudi Kwa wa level yako.

Hela niitafute Tena wkt ni mwendo wa kula na kumshukuru Mungu, kuburudika kwenye ulimwengu wa mziki, Mpira nk
 
Kwanza usitoke nje ya mada. Chinga anaimba vzr ana vocal nzr inamvuto....

Mond anatabia ya uchawa, Kwa kuwa yeye ndiye mkubwa wao anaitumia nafasi vzr dogo chinga shida kubwa ni confidence hana kabisa. Consider ukiwana confor hata MTU na madegree hakuwez,...wote wawili ni shule less,

Wanatambiana, japo mond ameachana na kufuatikiana na dogo chinga boy, Sasa chinga na watu kama wewe unahangaika, sis ni washabiki wao tuu. Sina ishu na yoyote kati yao....

Mondi anawadaka mademu kama kama kumsukuma mlevi, akiwataka, chinga Hana uwezo huo...hapo nazungumzia kukubalika....vita ya cr7 vs Mess mwisho wa siku mess ni Dunia nyingine japo cr7 ana nafasi yake...so elewa baba acha ubishi..

Hela niitafute Tena wkt ni mwendo wa kula na kumshukuru Mungu, kuburudika kwenye ulimwengu wa mziki, Mpira nk
Kwa uandishi huu mbona kama wewe ndo shule less!!!!????
 
Anapenda vijana kamlea sana Kiba ,alivyo acha na Kiba Hemed PhD nae akawa anajipigia, Hemed nae akapiga chini,sasa hivi sijui anapiga nani.
Mkuu una uhakika?nifanyie connection bas inaonekana unaweza nipa mwanga pa kuanzia namzimia mnoo yule bi mkubwa kiukweli mazeee kama yupo humu apunge bas hata mkono na lile tabasamu lake Mweee[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Mkuu una uhakika?nifanyie connection bas inaonekana unaweza nipa mwanga pa kuanzia namzimia mnoo yule bi mkubwa kiukweli mazeee kama yupo humu apunge bas hata mkono na lile tabasamu lake Mweee[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Connection sina ila hayo mafaili niliyapata kwa mbongo movies mmoja ndiye aliyenipa mkanda wa huyo bi mkubwa.
 
Usiku wa jana kijana Harmonize kuna video zilisambaa na picha akionyesha kumsujudia Madam Ritha angalia hiyo picha hapo



Chanzo cha kumuabudu mwanadamu mwenzake anasema eti Madam Ritha baada ya kumkataa bongo star search ndio amemfanya afike hapo alipo

Kwa sasa hata mziki wake amekuwa hana mpangilio mzuri wa kuachia nyimbo yaani anatoa nyimbo kila wiki or mwezi ilimradi tu ametoa nyimbo yeye twende, mwisho wa siku anaachia kazi mbovu

Mfano hii juzi aliyotoa anaita bakhresa, kwa sasa amekuwa akishindana na Diamond akiona mwenzie katoa nyimbo na yeye lazima ataingia studio atatunga ugoro wowote tu ilimradi ashindane mwisho wa siku hamna lamaana

Bwana mdogo anahitaji management nzuri ya kumshauri kuachana na mziki wa majungu anatakiwa atafute wanamziki nnje ya tazania afanye nao colabo mzki uvuke nnje apige hela, akiendekeza miziki ya majungu atashuka na kuwa mwanamziki local wakati alishaanza kupaa kimataifa
Mzee wa akankil, akadansi😁
 
Hela imeanza kumuishia kutokana na kujitutumua kushindana na tajiri wake wa zamani, kwasasa anachofanya ni kujiweka karibu na watu wanaoweza kumpa backup.

Alianza na JPM Mungu kamchukua, sasa yupo kwa Bakhresa na ndohivyo anamendea kwa Ritta. Mtasikia mengi tu, kaeni mkao.

Yeye alivyotoka kule na kibunda chake na alvyopiga ule ubalozi wa CRDB angetulia kufanya mziki wake na sio kutaka kushindana na Mond, maana hata hao wanaomjaza wanajua kabisa hana huo uwezo wa kushindana na yule kiuchumi ila ndohivyo wanamtumia tu.
Na ndio maana unashabikia simba sababu una tabia za kike.
 
Wewe ndio inatakiwa uwahi Mirembe Dodoma, mwenzio ni msanii yupo kazin, wewe unaejua kuwasha sabufa na kuzima unataka umfundishe kazi yake
Mimi hUyo ni kama kinyesi so namshauri tu ili aendelee kukumbuka anakotokea
 
Kwanza usitoke nje ya mada. Chinga anaimba vzr ana vocal nzr inamvuto....

Mond anatabia ya uchawa, Kwa kuwa yeye ndiye mkubwa wao anaitumia nafasi vzr dogo chinga shida kubwa ni confidence hana kabisa. Consider ukiwana confor hata MTU na madegree hakuwez,...wote wawili ni shule less,

Wanatambiana, japo mond ameachana na kufuatikiana na dogo chinga boy, Sasa chinga na watu kama wewe unahangaika, sis ni washabiki wao tuu. Sina ishu na yoyote kati yao....

Mondi anawadaka mademu kama kama kumsukuma mlevi, akiwataka, chinga Hana uwezo huo...hapo nazungumzia kukubalika....vita ya cr7 vs Mess mwisho wa siku mess ni Dunia nyingine japo cr7 ana nafasi yake...so elewa baba acha ubishi..

Muambieni chinga Hana PR ya kuuza kama mondi. Or ni nyota ya kazi, kama unavyoona mondi anapata vihela watu wanasema Frimasoni....inawezekana au sio kweli..kikubwa unauzika? Una personality ya kutumiwa na cartel mbalimbal uingize mkwanja?? Chinga Hana, ndio maana anahangaika.....mm nafanya kaz sehm flan, sometimes najiona nyota mabosi wanaiona ikiwawakia, sometimes inakuwa hovyo,naona kabisa, jiangalie hata wewe, wkt mwingine una kitu lkn kama hukubaliki ndg utateseka, tukubaki wkt mwingine bahati unakuja wkt mwingine inakimbia, subiri ije pambana mdogo mdogo Kwa Tahadhari, sometimes ukiona tembo usipambane naye, Rudi Kwa wa level yako.

Hela niitafute Tena wkt ni mwendo wa kula na kumshukuru Mungu, kuburudika kwenye ulimwengu wa mziki, Mpira nk
Nadhani umemaliza kila kitu, Uzi ufungwe
 
Back
Top Bottom