kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 423
Hapotee Mara ngapi?Na ni mara ya kwanza diamond kumaliza mwezi mzima bila scandal... Kweli mond anapotea gemuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema bila skendo mondi asingetoboa gemuni?Na ni mara ya kwanza diamond kumaliza mwezi mzima bila scandal... Kweli mond anapotea gemuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapotee Mara ngapi?
Wizi wa Vipawa vya watu haujawahi kuwaacha watu salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nikiangalia hiyo "smallest hotel"yako huwa nawaza mbali sana.... inaonekana ipo tight...hatar sanaNa ni mara ya kwanza diamond kumaliza mwezi mzima bila scandal... Kweli mond anapotea gemuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbuka taasisi nazo hu collapseNarudia Tena diamond Ni taasisi sio tena msanii huwezi kumfananisha na kiba, harmonise,vanny au yeyote yule bongo.. Harmonise Ni msanii bado hawezi kushindana na taasisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu hamjajua kuhusu diamond.Diamond Ana mikakati mingi sana kuanzia uimbaji wake,collaboration zake, wanawake anaotembea nao,show zake yaani vitu vingi anavyofanya anafanya kwa sababu flani vingine Ni vya kipuuzi kabisa machoni pa watu lakini Mwisho wa siku vina faida kwake.kumbuka taasisi nazo hu collapse
Kama unayo hela utaipata "smallest hotel" ila kama hauna hela hata kuku wanakudharau yaani wanaweza kufanya hata mapenzi mbele yako. [emoji16]Kila nikiangalia hiyo "smallest hotel"yako huwa nawaza mbali sana.... inaonekana ipo tight...hatar sana
Huo ujinga umechosha na kukinaisha. Sio kama zamaniKuna kitu hamjajua kuhusu diamond.Diamond Ana mikakati mingi sana kuanzia uimbaji wake,collaboration zake, wanawake anaotembea nao,show zake yaani vitu vingi anavyofanya anafanya kwa sababu flani vingine Ni vya kipuuzi kabisa machoni pa watu lakini Mwisho wa siku vina faida kwake.
Harmonise anapita njia za diamond lakini bado ameshindwa kufika pale na hatafika etiii..
Ogopa sana mtu anayezungumziwa tumeona nguvu ya kuzungumziwa kwa Pierre likwidi.
Simba kila sehemu lazima umzungumzie kuanzia baba ake, watoto wake,ex zake,label yake,TV,radio,mama ake,mziki wake,scandal zake,wasanii wake,collabo zake,ujinga wake...saivi project mpya ya kijinga Ni kuhakikisha kuna vita kubwa ya maneno kwenye social network Kati ya uganda,tz na Kenya kuhusu mademu zake .....huu ujinga wote ndo unamfanya awe pale Sasa harmonise Ana ujinga gani???hivi mnajua kwanini tamthilia zipo so addictive??????
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaKila nikiangalia hiyo "smallest hotel"yako huwa nawaza mbali sana.... inaonekana ipo tight...hatar sana
Narudia Tena diamond Ni taasisi sio tena msanii huwezi kumfananisha na kiba, harmonise,vanny au yeyote yule bongo.. Harmonise Ni msanii bado hawezi kushindana na taasisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu hamjajua kuhusu diamond.Diamond Ana mikakati mingi sana kuanzia uimbaji wake,collaboration zake, wanawake anaotembea nao,show zake yaani vitu vingi anavyofanya anafanya kwa sababu flani vingine Ni vya kipuuzi kabisa machoni pa watu lakini Mwisho wa siku vina faida kwake.
Harmonise anapita njia za diamond lakini bado ameshindwa kufika pale na hatafika etiii..
Ogopa sana mtu anayezungumziwa tumeona nguvu ya kuzungumziwa kwa Pierre likwidi.
Simba kila sehemu lazima umzungumzie kuanzia baba ake, watoto wake,ex zake,label yake,TV,radio,mama ake,mziki wake,scandal zake,wasanii wake,collabo zake,ujinga wake...saivi project mpya ya kijinga Ni kuhakikisha kuna vita kubwa ya maneno kwenye social network Kati ya uganda,tz na Kenya kuhusu mademu zake .....huu ujinga wote ndo unamfanya awe pale Sasa harmonise Ana ujinga gani???hivi mnajua kwanini tamthilia zipo so addictive??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Umashuhuri unaweza usiishe lakini uwezo wa kuendeleza ubora ukaishaWalikuwepo kina britney spears waliwikaa na si kwamba ni uzee ndo umepatoa kwenye chart No, kuna kipindi umashuhuri unaishaa.