Harmonize Anapoelekea Atamzidi Ubora DiamondPlatnumz

kisokolokwinyo20

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
472
Reaction score
423
Kwa wale wapenzi wa Muziki wa Bongo flava na wanaofatilia kwa ukaribu watakubaliana namimi makeke ya huyu kijana wa Kimakonde kutokea WCB Label. Kwa kipindi cha Mwaka 2018 hadi sasa amefanya kazi kubwa ya kutoa zile zinazoitwa Hit Songs na Kufanya Collabo ambazo hajapotezwa na 'Ma-Superstar' aliowashirikisha.

Sasa hivi ana nyimvo ya Paranawe, Kainama na Show Me What You Got. Naona kabisa akiwaacha mbali wasanii wenzake wa WCB ndani ya miaka miwili ijayo akiendelea na moto huu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumbuka taasisi nazo hu collapse
Kuna kitu hamjajua kuhusu diamond.Diamond Ana mikakati mingi sana kuanzia uimbaji wake,collaboration zake, wanawake anaotembea nao,show zake yaani vitu vingi anavyofanya anafanya kwa sababu flani vingine Ni vya kipuuzi kabisa machoni pa watu lakini Mwisho wa siku vina faida kwake.

Harmonise anapita njia za diamond lakini bado ameshindwa kufika pale na hatafika etiii..

Ogopa sana mtu anayezungumziwa tumeona nguvu ya kuzungumziwa kwa Pierre likwidi.

Simba kila sehemu lazima umzungumzie kuanzia baba ake, watoto wake,ex zake,label yake,TV,radio,mama ake,mziki wake,scandal zake,wasanii wake,collabo zake,ujinga wake...saivi project mpya ya kijinga Ni kuhakikisha kuna vita kubwa ya maneno kwenye social network Kati ya uganda,tz na Kenya kuhusu mademu zake .....huu ujinga wote ndo unamfanya awe pale Sasa harmonise Ana ujinga gani???hivi mnajua kwanini tamthilia zipo so addictive??????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ujinga umechosha na kukinaisha. Sio kama zamani
 
Duuh mzee umechimbua sana, big up
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…