Harmonize anapojipima msuli

Harmonize anapojipima msuli

vise versa angetoa mmakonde then aje atoe Mond ingeonekama analeta ushindan ila kwa kuwa walianza wcb inaonekana kila mtu anafanya kwa muda wake
Hivi kuna utaratibu wowote kuwa msanii fulani akitoa wimbo basi na mwingine asitoe kwa wakati huo?

Kila mtu ana mashabiki wake na kila wimbo una ujumbe tofauti na mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond hajawahi penda wasanii wenzake. Kama kweli alimpenda Zuchu hakutakiwa kutoa ule wimbo wa Quarantine maana amesababisha dogo wimbo wake unapotea
Mkuu unajua ulicho andika au unasukumwa na chuki?
 
Kwanini asubiri nawakati kila mtuu ana mipangilio yako wabongo bana ...tanzanian need education ooh
 
But tembe it s doing where ..wcb ndo wanataka upinzani ..kila kiti anachofanya tembo wao wanataka waharibu .ila Allah na mpaji sio binadam .... zuchu kapokelewa vyema sasa keshapotea ..Ibra anaendelea vizuri ...so sidhani kama kuna upinzani kila mtu. Ana fight kivyake
 
Hii safi sana wcb walijaribu kila kiti ili upinzani wa harmonize na diamond uishe iwe upinzani wa rayvan nyegezi na harmonize lakini raia wamekataaa huwezi ukamlinganisha rayvan na tembo never
 
Back
Top Bottom