herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
vise versa angetoa mmakonde then aje atoe Mond ingeonekama analeta ushindan ila kwa kuwa walianza wcb inaonekana kila mtu anafanya kwa muda wakeWe jamaa umeandika ili uwashindanishe sio? Acha uzwazwa wewe kila mmoja anafanya kitu kwa muda ambao unahisi ni sahihi kwake...
Sent using Jamii Forums mobile app