Harmonize anawekwa mjini na demu wa kizungu, aachana rasmi na Jackline Wolper

Harmonize anawekwa mjini na demu wa kizungu, aachana rasmi na Jackline Wolper

Hii tabia naona inashika kasi siku hizi! Hata hawaoni aibu. Badala ya kukemewa ndio kwanza inapongezwa.
Kuwa marioo ni bahati shekh sizani kama kila mwanaume ana hilo kazia
 
Kama wewe ni Mwanaume uwe unakaa mbali na "Posts" za WANAMUME, maana hata rafiki yako Elton John anao uume. Ukiona post ya Mwanamume pita mbali
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kwa story za kunyapia nyapia zinadai kuwa harmonize na wolper gambe washabwagana na kila mtu kachukua 50 zake na kwa ubuyu unaosambaa mjini unadai kuwa Dogo kapata mtt mkaliii wa kitaliano anajulikana kwa jina la sarah na tyari yupo mimba....so mda cyo mrefu harmonize ataitwa baba......demu nasikia anamkwanja wa kutosha ndo anaempa jeuri harmonize apa mjini ndo maana kila siku anabadili dinga tu mara Prado mara Audi.

Hongera sana mmakonde kama izo story ni za kweli.....endelea kuliwakilisha taifa kwa huyo muitaliano.
Kwa mujibu wa Mange ,Harmonize amemwaga Wolper kisa Wolper ananuka K
 
Huyu binti anaaibisha sana watu wa kaskazini badala ya kutolea macho mapato yeye yuko na skendo za kuuza nyapu hivi haoni mfano kwakina IRENE KIWIA,NANCY SUMARY na mabinti wengine wa chuga wasio na upuuzi.
Hao uliowataja mkuu wanajielewa sio kama huyu mlevi
 
Ni kutoka kwa Shilawadu.. wawili hawa wanadaiwa kuachana, sijui inatokana na bidada huyu kuchafuliwa na hyule mwingine anayeishi mamtoni ama vipi, maana amekuwa akipost mambo ya kumdhalilisha dada huyu huko Insta, na watu wengi wanavyomuamini Harmonize akaona isiwe shida...

Harmonize is like Harmorappa WAMEFANANA SANA HAWA WAMAKONDE WA MASASI
 
K ikinuka inapoteza hisia matokeo yake badala ya kupiga sita unapiga 2
 
jamani watuu mbona shidaaa! Mmeomba usiku na mchana waachane ....mnapenda kumuona jack hana furaha
kiufupi ntamiss vile Harmonize alivyokuwa anamdekeza bibie
 
Back
Top Bottom