Harmonize anawekwa mjini na demu wa kizungu, aachana rasmi na Jackline Wolper

Mmmh hiyo k iliyo na harufu isiyoisha ni ya namna gani?? Hamna hata any medical solution maana kwa kusemwa huku sijui kama huyo bidada ana peace of mind...
 
Kweli waachane tuuu
Tumechoka na huyu bibi wa kichagga
Toka kishumundu magharibi
 
mkuu ushambiwa katupiwa Jini Kwene bibi kuna tema hatari yani ukipita hutamani kuludia tena
Maskini! Aende hospitali akatibiwe pengine ni tatizo linaloweza kutibika. La akaombewe hilo pepo liishe. Maana hiyo hali si ya kawaida
 
Mmmh sipaelewi hapa... mnamanisha wolper ananuka ama. Atokee shilawadu mmoja anijibu pulizzz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…