Harmonize anusurika kupewa kipigo Kenya baada ya shoo yake kubuma na kutaka kutoroka!

Harmonize anusurika kupewa kipigo Kenya baada ya shoo yake kubuma na kutaka kutoroka!

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Harmonize alikuwa na show nchini Kenya lakini kwa mara nyingine tena amekosa watu kama kawaida yake akifanya shows nje ya Tanzania.

Na alipojaribu kutoroka hiyo aibu aliishia kukoswa koswa na kipigo kitakatifu kutoka kwa wakenya wachache waliojitokeza.

Bahati nzuri polisi waliwahi na kumchukua kumpeleka kituoni ambapo alilala hapo na yupo hapo mpaka sasa.

Namshauri tu Harmonize na management yake wangeachana na hizi shows za nje ya nchi hii ni mara ya tatu anakosa watu Kenya anaishia kukimbia aibu. Yeye ni wa hapa hapa tena Instagram, yeye aendelee kuturushia video clips za kuchekesha kwenye insta hiyo ndio area yupo vizuri sana.

IMG_20220501_102600.jpg


IMG_20220501_102935.jpg


IMG_20220501_113812.jpg
 
Cha msingi hapo kalia screwdriver na rotate anticlockwise.Kazi inakua imeisha.
 
Kwa mwendo huo ipo siku Konde boy atapigwa miti hadharani, wakenya hawapendi kucheka na ngedere.

Hayo ndio matatizo ya wasanii kujiona wako juu kuliko sanaa yenyewe. Kama Konde boy alishalipwa pesa ili kufanya show, anapaswa kufanya show hivyo hivyo hata kama hakuna umati wa watu uliokuja kuhudhuria. Ajifunze tamu na chungu ya kufanya sanaa, kama watu wanaweza kukushangilia pia wanaweza kukuzomea, kama wanaweza kuja kwa wingi pia wanaweza kuwa wachache.
 
Mzee hata diamond alishapigwa na makopo ujerumani kama hajakwambia muulize ilikuwaje
Diamond hawezi kufanya uhuni mavi kwenye biashara yake hao walio rusha makopo watakuwa wale haters.

Harmonize kapelekwa lokapu wamejaa mapromota kama kumi wengine alikuwa anapewa advance hatokei sasa leo wamembananisha...Na Omondi anaenda kumfungulia kesi maana kampiga mangumi mpaka kamchana mdomo
 
Kwa mwendo huo ipo siku Konde boy atapigwa miti hadharani, wakenya hawapendi kucheka na ngedere.

Hayo ndio matatizo ya wasanii kujiona wako juu kuliko sanaa yenyewe. Kama Konde boy alishalipwa pesa ili kufanya show, anapaswa kufanya show hivyo hivyo hata kama hakuna umati wa watu uliokuja kuhudhuria. Ajifunze tamu na chungu ya kufanya sanaa, kama watu wanaweza kukushangilia pia wanaweza kukuzomea, kama wanaweza kuja kwa wingi pia wanaweza kuwa wachache.

Alibebwa juu juu kama kibaka wa tandika eti alikuwa anataka kupigana na polisi wa Kenya alijua ni wa pale oysterbay amenyooshwa 😂😂😂
 
Diamond hawezi kufanya uhuni mavi kwenye biashara yake hao walio rusha makopo watakuwa wale haters.

Harmonize kapelekwa lokapu wamejaa mapromota kama kumi wengine alikuwa anapewa advance hatokei sasa leo wamembananisha...Na Omondi anaenda kumfungulia kesi maana kampiga mangumi mpaka kamchana mdomo
Uzi upo humu, yeye akaishia kuwalaumu waandaaji
 
Alibebwa juu juu kama kibaka wa tandika eti alikuwa anataka kupigana na polisi wa Kenya alijua ni wa pale oysterbay amenyooshwa 😂😂😂
Tusimcheke kijana wetu huyo, sisi tunaotokea Bush ushamba unakawai mno kututoka kwa hiyo nivema ashauriwe ili ajifunze kupitia kwa waja. Tatizo la konde hataki kujishusha rather anataka kuonekana mkubwa kuliko hata ukubwa wenyewe
 
Tusimcheke kijana wetu huyo, sisi tunaotokea Bush ushamba unakawai mno kututoka kwa hiyo nivema ashauriwe ili ajifunze kupitia kwa waja. Tatizo la konde hataki kujishusha rather anataka kuonekana mkubwa kuliko hata ukubwa wenyewe
Inabidi ajifunze kwa kweli, kwa supastaa kunyakuliwa kama bata haipendezi kwa kweli anatuaibisha kama nchi.
 
Yani Harmonize habari zake uwa hazikamiliki mpaka mumulete Diamond Platnumz Chibu Dangote.... Mkiambiwa Konde hana uwezo wa kuishi bila jina la Diamond mnakuwa wakali wakati huo ndio ukweli.
Wewe unaishi kwa jina la nani?
 
Diamond ndio reference yenu ooh mbona Diamond nae hivi.... Ebu muishi bila jina la Diamond hata miezi miwili basi
Na nyie muishi bila kutaja mapungufu ya wenzenu maana na nyie mna mapungufu yenu
 
Mzee hata diamond alishapigwa na makopo ujerumani kama hajakwambia muulize ilikuwaje
Kweli akili ni nywele kila mtu anazake, ila hawakutaja za eneo lipi. Sasa kwa kuwa Mondi karushiwa chupa ,Konde kurushiwa chupa una ona sawa sababu "hata Diamond karushiwa....".Wenzenu wanaiga vitu vizuri, haya nimesikia kumbe kampiga ngumi Omondi, Omondi nae anataka kumfungulia kesi huoni kwamba huo ni ujinga, usela nnya ambao utamghalimu Harmo kwa mziki wake na utamuingiza ktk gharama zisizo za msingi.

Ila si shangai kuongea hivyo kwani Diamond ni SI unit ya mziki wa Tanzania, ila ni vizuri akachukua vizuri vya Mondi na Mondi sizani ange act hivyo,kwani jamaa shule hana ila mambo yake mengi ana yafanya kiproffesional,Harmo apunguze usela, tena ya hasingefanya chochote na hata wangempeleka kituoni, angesimamia mkataba wake ulivyosema, haya kishaliongeza jingine na Omondi........
 
Back
Top Bottom