Kweli akili ni nywele kila mtu anazake, ila hawakutaja za eneo lipi. Sasa kwa kuwa Mondi karushiwa chupa ,Konde kurushiwa chupa una ona sawa sababu "hata Diamond karushiwa....".Wenzenu wanaiga vitu vizuri, haya nimesikia kumbe kampiga ngumi Omondi, Omondi nae anataka kumfungulia kesi huoni kwamba huo ni ujinga, usela nnya ambao utamghalimu Harmo kwa mziki wake na utamuingiza ktk gharama zisizo za msingi.
Ila si shangai kuongea hivyo kwani Diamond ni SI unit ya mziki wa Tanzania, ila ni vizuri akachukua vizuri vya Mondi na Mondi sizani ange act hivyo,kwani jamaa shule hana ila mambo yake mengi ana yafanya kiproffesional,Harmo apunguze usela, tena ya hasingefanya chochote na hata wangempeleka kituoni, angesimamia mkataba wake ulivyosema, haya kishaliongeza jingine na Omondi........