Harmonize ashutumiwa kuwabania Wasanii wake kufanikiwa kimuziki

Harmonize ashutumiwa kuwabania Wasanii wake kufanikiwa kimuziki

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Msanii Anjella amemvulia uvivu boss wake wa zamani Harmonize baada ya kusema kuwa aliwabariki kiroho safi kwenda kutafuta Rizki sehemu nyingine.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory) Anjella Amedai kuwa Harmonize ndio mtu anaeongoza kuwabania Rizki zao huku akisema anaweza kuweka hadi ushahidi.

Screenshot_20240224-190137.jpg
 
Harmonize hii ya kuwa na label angeachana nayo, he is good angeconcetrate na muziki wake tu
 
Huyu nae aache mdomo afanye muziki tumsikilize akiimba, Pumbavu zake.
 
Back
Top Bottom