Toba ndio yaliyojiri huko?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamechanganyikiwa tanasha kuitwa Zari jukwaan kigoma
Wachanganywe kivp?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamechanganyikiwa tanasha kuitwa Zari jukwaan kigoma
Sio kiba ndo anakosa amani.Muacheni konde boeeeh afanye yakeeee kinyago alichokichonga kwa mikono yake Leo kinamkosesha amani ndani ya nyumba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Doooh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hataree bidada akakosa raha
Huu mchezo hata clouda nao wameanza kuushtukia,taratiiibu wameanza kujiweka kandoHarmonize na Diamond hawana bifu lolote kinachofanyika ni kumzima aliyesadikika ni mpinzani wa Diamond kimuziki stori zake zimeshaanza kupotea kwenye vichwa vya watu saizi ni Harmonize na Diamond wakishafanikiwa kumzima kabisa jamaa atarudi nyumbani kama alivyofanya mzee wa Lumumba yule
Huyo alishajifia mwenyewe wala hakuna aliyemuuawanamuua kimuziki Alikiba hawa..
Na hua wana hasira/jazba sana maana moyo wao uko karibu na mfuko wa mavi na kuna joto kali sana pale.Watu wafupi hawaoni mbele ya urefu wa kimo Chao
Katika hi dunia ukijua kuchukuliana na watu. Hata mapungufu Yao utaona sio kitu kabisa
NB; shetani alikuwa kipenzi Cha MUNGU lakini sifa zilimpumbaza akaota KIBURI akaja kuikosa thamani na heshima hata kwa vilivyokuwa chini yake
Na logout
Na kuna shabiki alipanda jukwaani amelewa akaomba awekewe bit la hiphop achane,akaulizwa unataka beat la wimbo gani uimbe.?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hataree bidada akakosa raha
Na kuna shabiki alipanda jukwaani amelewa akaomba awekewe bit la hiphop achane,akaulizwa unataka beat la wimbo gani uimbe.?
Akajibu UNO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna shabiki alipanda jukwaani amelewa akaomba awekewe bit la hiphop achane,akaulizwa unataka beat la wimbo gani uimbe.?
Akajibu UNO.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vituko vilikua vingi
Kuna chupa zilirushwa jukwaani wacha waliokuwepo hapo watimue mbio mpaka tv ikakatisha matangazo ghafla