Harmonize ataweza walipa Wasafi billion 1?

Kwan 1B shkitugan kwa sasa yan 500k $ ... Simple sana akishindwa mwambieni ani pm nitawalipa had mara kumi yake...ilimrad tu harmonize afe..maana sipendi wstu wenye tamaaa haswa sisi maskini tukipata kidogo tunaona tunanyonywa kenge sisi ..naota tu
Changia JF basi upate hata ka_badge ka platinum member
 
Kwan 1B shkitugan kwa sasa yan 500k $ ... Simple sana akishindwa mwambieni ani pm nitawalipa had mara kumi yake...ilimrad tu harmonize afe..maana sipendi wstu wenye tamaaa haswa sisi maskini tukipata kidogo tunaona tunanyonywa kenge sisi ..naota tu
una roho ya kimasikini kabisa
 
Sijajua Copyright za nyimbo zake,lkn acc zote Youtube na Instagram zipo chini yake Harmonize na ndio maana nyimbo yake aliyofanya na Eddy Kenzo aliiupload katika hiyo account yake ya youtube na kuifanyia promo katika account yake ya Instagram.
Wewe ni Sara mzungu?
 
Kwa demu wake sara hiyo ni unyoya tu.
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.

Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.
 
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.

Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.

Sawa sallam
 
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.

Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.

Wasafi wameingia kumi na nane za Maguful

Jamaa kwa ule wimbo wa ooh dadi ......

Just days hao watatambaa na TRA hiyo bilioni itatoka kwa wasafi wenyewe

Time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…