Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
hamo hata milioni 20 hana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True. Vinginevyo asingemng'ang'ania Sponsor bibihamo hata milioni 20 hana
Changia JF basi upate hata ka_badge ka platinum memberKwan 1B shkitugan kwa sasa yan 500k $ ... Simple sana akishindwa mwambieni ani pm nitawalipa had mara kumi yake...ilimrad tu harmonize afe..maana sipendi wstu wenye tamaaa haswa sisi maskini tukipata kidogo tunaona tunanyonywa kenge sisi ..naota tu
Sara si yupo? AtamsupportHivi nyie billion moja mnaijua au mnaropoka tu ? .Harmonize Ana pesa gani ya kulipa bilioni moja ?
una roho ya kimasikini kabisaKwan 1B shkitugan kwa sasa yan 500k $ ... Simple sana akishindwa mwambieni ani pm nitawalipa had mara kumi yake...ilimrad tu harmonize afe..maana sipendi wstu wenye tamaaa haswa sisi maskini tukipata kidogo tunaona tunanyonywa kenge sisi ..naota tu
alitoa mimba tuMavoko alitoa bilion ngapi?
Wewe ni Sara mzungu?Sijajua Copyright za nyimbo zake,lkn acc zote Youtube na Instagram zipo chini yake Harmonize na ndio maana nyimbo yake aliyofanya na Eddy Kenzo aliiupload katika hiyo account yake ya youtube na kuifanyia promo katika account yake ya Instagram.
Wewe ni Sara mzungu?
Utakufa mdomo wazihamo hata milioni 20 hana
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.
Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.
Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram.
Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa Wasafi.
Account ni ya WCB. wao ndio wanao miliki. Ilikuwa ya ofisi. Wafanya kazi wa WCB ndio waliokuwa akiendeshaMahakama ndo itasema na wao WCB wathibitishe kuwa wana haki na
account binafsi za wasanii