Harmonize atoa wimbo mkali kumsifu Rais Magufuli

Harmonize atoa wimbo mkali kumsifu Rais Magufuli

Ameeleza hisia zake nami naungana nae Bila shaka Magufuli ni rais Bora licha ya mapungufu madogo maana ndio yanakamilisha ubinadamu wake.
 
Harmonize ametoa remix ya Kwagwaru akimpongeza na kumsifu Rais Magufuli kwa utendaji wake wa kazi.

Kwa huu wimbo sitashangaa Magufuli akimpa shavu la kuelewaleka Harmonize.



Kwa Ankali anweza kumpa hata Ukuu wa Mkoa.
 
Cover mbovu zaidi ya kwangwaru
Dogo anaharibu
Yeye sio level ya kumsifu Rais....Ana jina kubwa nao Africa

Hayo awaachie madogo.....Kila Siku nasema hate ufanikiwe vipi Nafasi ya Elimu itaonekana tu

Darasa la 7 Ni la Saba tu....hajui hata impact ya anachokifanya
Sasa unateseka nn....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji95][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji125][emoji125]
a4388f203c674c88956a764feea6ff42.jpeg
 
Kwani uliwahi kuona wapi darasa LA 7 anamchukia anco magu
Watz bhana,, sasa ww n phd yako na huyo wa la saba nani bogus?

La saba ni billionea, asha ji brand , ana networking na kampuni za kutosha , unaensa kumpigia goti ww wa phd upate kazi ya kupanga makablasha ,akija kukagua miradi unasimama unamsalimia shikamoo na phd yako !

Wewe unakaa mitandaoni kutukana mamlaka , yeye mwenye nacho tayar na ndo mwenye power anasifia na kuheshim mamlaka sjui nani mburula hapa !
 
Cover mbovu zaidi ya kwangwaru
Dogo anaharibu
Yeye sio level ya kumsifu Rais....Ana jina kubwa nao Africa

Hayo awaachie madogo.....Kila Siku nasema hate ufanikiwe vipi Nafasi ya Elimu itaonekana tu

Darasa la 7 Ni la Saba tu....hajui hata impact ya anachokifanya
Watz bhana,, sasa ww n phd yako na huyo wa la saba nani bogus?

La saba ni billionea, asha ji brand , ana networking na kampuni za kutosha , unaensa kumpigia goti ww wa phd upate kazi ya kupanga makablasha ,akija kukagua miradi unasimama unamsalimia shikamoo na phd yako !

Wewe unakaa mitandaoni kutukana mamlaka , yeye mwenye nacho tayar na ndo mwenye power anasifia na kuheshim mamlaka sjui nani mburula
 
Back
Top Bottom