ππππ hii kali jamani dah.Kwani uliwahi kuona wapi darasa LA 7 anamchukia anco magu
Kwa Ankali anweza kumpa hata Ukuu wa Mkoa.Harmonize ametoa remix ya Kwagwaru akimpongeza na kumsifu Rais Magufuli kwa utendaji wake wa kazi.
Kwa huu wimbo sitashangaa Magufuli akimpa shavu la kuelewaleka Harmonize.
Na zile nywele itakuaje[emoji23][emoji23]Utasikia kesho mayonaizi ni mkuu wa wilaya
Sasa unateseka nn....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji95][emoji125][emoji125][emoji125]Cover mbovu zaidi ya kwangwaru
Dogo anaharibu
Yeye sio level ya kumsifu Rais....Ana jina kubwa nao Africa
Hayo awaachie madogo.....Kila Siku nasema hate ufanikiwe vipi Nafasi ya Elimu itaonekana tu
Darasa la 7 Ni la Saba tu....hajui hata impact ya anachokifanya
Watz bhana,, sasa ww n phd yako na huyo wa la saba nani bogus?Kwani uliwahi kuona wapi darasa LA 7 anamchukia anco magu
Watz bhana,, sasa ww n phd yako na huyo wa la saba nani bogus?Cover mbovu zaidi ya kwangwaru
Dogo anaharibu
Yeye sio level ya kumsifu Rais....Ana jina kubwa nao Africa
Hayo awaachie madogo.....Kila Siku nasema hate ufanikiwe vipi Nafasi ya Elimu itaonekana tu
Darasa la 7 Ni la Saba tu....hajui hata impact ya anachokifanya
Atanyoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na zile nywele itakuaje[emoji23][emoji23]
kama lusinde na mlinga wameweza nani atashindwaMmmmmmm,,,ubunge umekua cheap ivo