Anachofanya, kibinadamu ni sahihi, lakini sokoni anaenda kuwa cheap commodity .
Wewe ni msanii mkubwa,Kwa nini utangaze mambo ya misamaha kwenye sosha network?
Mngeombana msamaha kimya kimya, then showbiz unamvimbia.
Konde alizingua sana alivyo behave Zanzibar.
Mistakes 4 za konde Zanzibar.
Kurekodi magari ya diamond , kulikua na ulazima gani yeye kuyarekodi? Sasa alivyorekodi na alivyokua anaongea ni kama alikua anamcheka mshkaji.
Kusimama juu na kucheza ngoma ya diamond, nigga ungechill na kuchezesha kichwa tu, unaona nasibu alivyohandle kipindi unapafomu. We unadhani hakuifeel?
Kufosi kukumbatia midemu, nigga what???
Wewe ni superstar, upo kiwanja cha nyumbani (kwa mkapa Zanzibar) kwa nini uhangaike na midemu, wale mademu ilibidi wakupe hii wewe halafu uwakaushie( chupi zao wooote wale mademu zingelowa utelezi kwa kukataliwa hi na konde, jioni unawaomba msamaha kisha unawapiga mkonga woote five some)
Sasa ona umefosi kukumbatiwa, halafu demu limekataaa aibu!!! Na confidence inapotea unajikuta unapiga show down kama ma pipes za shonde.
Kwanza hujui kaletwa na nani, huenda kuna sponsa labda mwanasiasa mkubwa, labda kalipia tiketi za go and return kalipia hotel stay, halafu aone manzi anakumbatiwa big no.
La mwisho alivyokutana na mondi, ilikua vizuri lakini ishu ya kukaa muda mrefu, kujiongelesha haikua na ulazima, pale ilikua mnakutana yooo wasap wasap mnapeana mikono, hug ya ki gangsta then unaongea kitu ambacho hata waandishi hawasikii(mkiwa karibu karibu)ambacho kesho waandishi wa habari watapata cha kukuuliza uliongea nini au yeye alikwambia nini.
Sasa jamaa kafika pale kuvutana mikono, ila modi alireact vizuri alipovutwa mkono, kama angelegea akavutwa ina maana symbol ya power ingekua imechukuliwa ila mondi akavimba hakuvutika kizembe.
Na mondi namkubali kwenye haya mambo ya power jamaa ni dominant, nahisi jamaa yawezekana kuna mtu au hata yeye inawezekana kabisa akawa kwenye vyama vya siri au anayasoma hayo mambo.
Tazama video aliyokaa zuchu, mondi, mke wa jux(unaoa ili ugundue nini) na jux mwenyewe.
Kuna kipande wanashikana mikono.
Angalia kwa umakini, diamond alivyomshika mkono zuchu, halafu angalia jux alivyomshika mkono mkewe
Hapo utaona symbol of dominance and power.
View: https://youtu.be/5uhKBddShDs?si=Kv8KT7vnEIG8eChZ