Harmonize ausome upepo mama sio mwendazake hapendi sifa

Mallia

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
437
Reaction score
1,562
Mdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza

Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika
 
Utakua hujaishi na wamakonde kama unahisi anachokifanya mmakonde mwengine hawezi kukifanya.

Ishi na Waha pia ujionee
Kasulu kibondo kigoma Tanzania,weee mama wachaaaaa-Indegeeeee
 
Aisee bwana mdogo hataki kupoteza muda. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…